logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • April 4, 2022

Macky Sall atoa wito kwa raia kukabiliana na kupanda kwa bei za vyakula

Rais wa Senegal alilihutubia taifa katika mkesha wa kuadhimisha miaka 62 ya uhuru wa nchi hiyo. Wakati Waislamu wakianza mfungo wa Ramadhani Jumapili hii, Aprili 3 na Wakrist . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • April 1, 2022

Marekani Yatoa pipa milioni 1 za mafuta kwa siku kukabiliana na bei ghali ya bidhaa hiyo.

Rais wa Marekani Joe Biden Alhamisi ametangaza kwamba pipa milioni 1 za mafuta zitatolewa kutoka kwa hifadhi ya mafuta ya Marekani kila siku kwa kipindi cha miezi sita ili kusaidia kupunguza bei . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 24, 2022

IEBC Yataka DP Ruto na Raila Wachunguzwe kwa Kutumia Pesa za Umma Kufanya Kampeni

Tume Huru ya Uchaguzi na Umma (IEBC), imemwandikia barua Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma(DPP) Noordin Haji ikimtaka achunguze madai kuwa Naibu Rais William Ruto na kiongozi wa ODM Raila Odinga wanatumi . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 22, 2022

Kenya inatarajia uchumi wake kuimarika kwa asilimia 6 mwaka wa 2022.

Serikali ya Kenya imesema kuwa inatarajia uchumi wake kuimarika kwa asilimia 6% mwaka huu , baada ya kunawiri kwa asilimia asilimia 9.9% katika robo ya tatu ya mwaka wa kifedha wa 2021 pamoja na k . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Waziri Biteko kushiriki kikao cha Baraza la Uchumi na Jamii UN

Waziri wa Madini Dkt. Doto Biteko amekutana na Rais wa Baraza la Uchumi na Jamii la Umoja wa Mataifa (ECOSOC), Collen Kelapile katika kikao kilicholenga kupata maelezo kabla ya kushiriki kikao cha . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 17, 2022

Wasafirishaji bidhaa nje wahimizwa kupima bidhaa zao

hirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa wito kwa wafanyabiashara kutumia huduma ya msaada wa kitaalamu kwa wasafirishaji wa bidhaa nje ya nchi ili kuepukana na usumbufu wa bidhaa kurudishwa nchin . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 14, 2022

Madereva bajaji Mbeya wampongeza Rais Samia Suluhu

Vijana waendesha bajaji Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi zao kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuwawezesha kupata mikopo ya vijana, wana . . .

news
Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Madini ya magari ya Umeme kuanza kuchimbwa Tanzania

Kampuni ya Peak Resources Ngualla (PRNG) itakayojihusisha na uchimbaji wa madini ya teknolojia ya Rare Earth Elements ambayo yanatumika kutengeza Magari, ipo katika hatua za mwisho za makubaliano . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

IMF yasema vita vya Ukraine vitayaathiri mataifa ya Afrika

Mkuu wa shirika la fedha duniani IMF, Kristalina Georgieva, amekutana na mawaziri wa fedha wa mataifa ya Afrika jana Alhamisi, kujadili athari za uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine. Amesema mtazamo . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Mauzo ya madini Tanzania yaweka historia, ni ‘Matrilioni’

Sekta ya madini nchini imeweka historia ya mauzo ya moja kwa moja ya madini yenye thamani ya shilingi Trilioni 8.3 kwa kipindi cha mwaka mmoja wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akizungumza . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 11, 2022

Wataalamu wa Ugavi 230 watakiwa kurudia mitihani ya kitaaluma.

Bodi ya wataalam wa ununuzi na ugavi ( PSPTB ) imetangaza matokeo ya mtihani wa 23 ya kitaaluma ya Ununuzi na Ugavi ambapo wanafunzi 230 wanatakiwa kujisajili upya wakitarajiwa kurudia tena mtihan . . .

news
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • March 10, 2022

Mfumo mpya wa kununua umeme kuanza Julai.

Shirika la Umeme (TANESCO) limesema kuanzia Julai mwaka huu litakuwa na mfumo wa ununuzi wa umeme ambao utawezesha wateja wao kuweka umeme kwenye mita papo hapo (automatically) tofauti na wa sasa . . .

news
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • March 9, 2022

Marekani inapiga marufuku uagizaji wa gesi na mafuta ya Russia

Marekani inapiga marufuku uagizaji wowote wa mafuta na gesi ya Russia, Rais Joe Biden alitangaza Jumanne hatua ambayo alisema italeta pigo jingine kubwa kwa mashine ya vita vya Putin, huku vikos . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Serikali yaondoa tozo ya petroli, dizeli, mafuta ya taa

ya taa kwa miezi mitatu kuanzia mwezi Machi.Taarifa iliyotolewa  Jumatatu Februari 28, 2022 na Wizara ya Nishati imesema kuwa sababu za kuondoa tozo hiyo ni kutokana na kuendelea kupanda kwa . . .

news
Uchumi biashara
  • Na JZ The Brand
  • March 1, 2022

Baa Marekani zaondoa pombe kali ya Russia

Baa nchini Marekani zimeondoa pombe kali aina ya vodka kutoka Russia na sasa zimebuni kinywaji kipya chotara (cocktail) kilichopewa jina la “Kyiv Mule”.Wanywaji wa baa za michezo za Bethesda, . . .

Kurasa 7 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • Nchimbi aahidi madarasa na vituo vya afya Itilima

    • 10 masaa yaliopita
  • Akutwa ameuawa na mwili kutelekezwa kigoma

    • 11 masaa yaliopita
  • Mpinzani wa Museveni Besigye amegoma kuhudhuria kesi

    • 11 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode