logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kitaifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Mbeto "Tanzania Ni Mwalimu wa Demokrasia Kusini mwa Sahara"

Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa namna yoyote kuihusisha Tanzania na Ubaguzi wa aina yoyote, au kudai inakiuka msingi ya demokrasia huku iki . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Rais wa Iran Aripotiwa Kuomba Kujiuzulu, Adai Kutengwa Kwenye Maamuzi

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, anaripotiwa kuwasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kudai kupokonywa mamlaka ndani ya mfumo wa uongozi wa nc . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Rais wa Colombia Akataa Matokeo ya Uchaguzi, Ahoji Mfumo wa Kuhesabu Kura

Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya awali kum . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Zaidi ya nusu ya nchi inakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula, kulingana na UM

Nchini Sudan Kusini, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) halina uwezo. Kulingana na makadirio ya hivi karibuni ya . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Abiy Ahmed kuwania muhula mwingine katika uchaguzi wa wabunge unaopingwa

Waethiopia milioni hamsini wameitwa kushiriki uchaguzi leo Jumatatu ili kuwachagua wabunge wao na maafisa wa kikanda. Wengi watakaochaguliwa . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Wagonjwa wengine 4 wa Ebola wapona

Wauguzi wanne waliokuwa wanatibiwa baada ya kuambukizwa virusi vya Ebola wameruhusiwa kutoka hospitalini huko Bunia mashariki mwa Jamhuri ya . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • June 1, 2026

Mashambulizi ya Ukraine yauwa mtoto, yajeruhi 11 Kherson

Mtoto mmoja ameuawa na watu wengine 11 wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi ya droni ya Ukraine kwenye mkoa wa kusini mwa nchi hiyo wa Kherson . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

WENGER AIPONGEZA SERENGETI BOYS KWA KUFUZU KOMBE LA DUNIA

Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya ch . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Marekani yaionya Iran kuhusu mazungumzo ya amani yakisuasua

Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani wakati mazungumzo na mvutan . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Rais wa Myanmar awasili India kuimarisha uhusiano

Rais wa Myanmar Min Aung Hlaing amewasili nchini India kwa mazungumzo na Waziri Mkuu Narendra Modi na Rais Droupadi Murmu ikiwa ni ziara yak . . .

Afrika
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Zambia yathibitisha kutokuwa na kesi za Ebola

Zambia imechunguza na kuthibitisha kuwa hakuna maambukizi katika visa viwili vilivyoshukiwa kuwa na Ebola huku ikiongeza ukaguzi na ufuatili . . .

Kilimo
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

RC Kilimanjaro ataka kuongezwa jitihada kuinua zao la kahawa

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amewataka wadau wa kahawa Kanda ya Kaskazini kuongeza juhudi za kuimarisha soko la ndani la zao hilo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Wasichana wanane wakamatwa kisa moto wa bweni uliouwa 16

MAMLAKA ya Kenya imewakamata wanafunzi wanane wanaoshukiwa kuchoma moto bweni la shule la wasichana  ikiwa ni siku chache zilizopita na . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Uchovu Watishia Ndoto za Arsenal Kwenye Fainali Dhidi ya PSG Leo

Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa n . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Raheem Sterling akamatwa Kwa tuhuma za Dawa za Kulevya

Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la . . .

Afya
  • Na Jembe Digital
  • May 30, 2026

Fahamu Sababu 7 Kwa Nini Watu Wengi Wanapenda Mchai Chai

Mchai chai ni moja ya vinywaji vinavyopendwa sana Afrika Mashariki kutokana na ladha yake tamu pamoja na viungo vyenye manufaa kiafya Mara n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Serikali yakabidhiwa mitambo kukabili uharibifu tabaka la Ozon

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda amepokea mitambo mitatu ya utambuzi wa kemikali zinazotumika kwe . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Mashabiki wa Tyla Wapaniki Baada ya Kutoweka Mitandaoni Kabla ya APop

Mashabiki wa msanii wa Afrika Kusini, Tyla, wameibua taharuki mtandaoni baada ya nyota huyo kuzima akaunti zake za X na TikTok huku akiifany . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Marekani na Iran Wakubaliana Kusitisha Vita kwa Siku 60

Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano huku zikisubiri idhini ya Rais wa Marekani Donald Tr . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Guterres aonya kuhusu mwelekeo hatari wa vita nchini Ukraine

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametahadharisha kuhusu mwelekeo wa vita vinavyoendelea nchini Ukraine na kusema, "ongezeko . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Mkuu wa WHO awasili Kongo kuunga mkono vita dhidi ya Ebola

Mkurugenzi mkuu wa shirika la afya duniani WHO aliwasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo jana Alhamisi, ikiwa ni ishara ya kuunga mk . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Atiku Abubakar kuwania urais kwa tiketi ya ADC

Nchini Nigeria, kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Januari mwaka ujao, vyama vya siasa tangu Mei tarehe 23 vimekuwa vikifanya . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • May 29, 2026

Kituo cha kuwahifadhi Wamarekani walioambukizwa Ebola kufunguliwa Kenya

Kituo cha kuwahifadhi raia wa Marekani walioambukizwa virusi vya ebola, kinatarajiwa kufunguliwa nchini Kenya hivi leo, kwa mujibu wa maafis . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Mahakama yaifuta kesi ya mgogoro na mgawanyo wa rasilimali ya Chadema

Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam hii leo Mei 28, 2026 imeifuta rasmi hati ya kesi ya madai iliyokuwa imefunguliwa dhi . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

FIFA yatangaza rasmi Uwanja wa ufunguzi wa kombe la Dunia 2026

Kombe la Dunia 2026 litaanza rasmi Juni 11, 2026 ambapo wenyeji Mexico watafungua pazia dhidi ya South Africa katika mchezo wa ufunguzi utak . . .

AJALI
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Wanafunzi 16 wafariki 74 wajeruhiwa katika ajali ya Moto

Wanafunzi16 wamefariki dunia huku wengine 74 wakijeruhiwa baada ya moto mkubwa kuteketeza bweni la wanafunzi katika Chuo cha Wasichana cha U . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Waziri Makonda amteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu za Taifa

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Israel yamuua kiongozi mpya wa kijeshi wa Hamas

Israel imetangaza kwamba imemuua Mohammed Odeh mkuu mpya wa tawi la kijeshi la Hamas katika ukanda wa Gaza katika shambulio lililofanyika Ju . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Trump azuia mpango wa Iran kudhibiti mlango bahari wa Hormuz

Rais wa Marekani Donald Trump amepuzilia mbali ripoti kwamba Iran na Oman zitachukua jukumu la kusimamia shughuli za usafiri katika Mlango B . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Uganda yafunga mpaka na Kongo kufuatia hofu ya Ebola

Serikali ya Uganda imeamuru kufungwa kwa mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia ongezeko la visa vinavyoshukiwa kuwa vya ai . . .

SOKA ULAYA
  • Na Jembe Digital
  • May 28, 2026

Mustakabali wa Oliver Glasner bado kitendawili

Kocha anayeondoka wa Crystal Palace Oliver Glasner amesema hana mpango wowote wa haraka kuhusu mustakabali wake wa kazi baada ya kuiongoza t . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Urusi na Ukraine zashambuliana vikali kwa droni, makombora

Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana vikali usiku kucha kwa kutumia droni na makombora. Mapigano hayo yanaonesha kuendelea kwa mvutano . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Trump kukutana na mawaziri kujadili kuhusu vita vya Iran

Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na Baraza lake la Mawaziri leo Jumatano wakati mazungumzo ya kumaliza vita na Iran yakiwa bado hayaj . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Kituo cha CDC chazidisha juhudi za kinga na chanjo ya Ebola

Kituo cha udhibiti na kuzuia magonjwa Afrika CDC kimesema kuwa kimeongeza juhudi za kinga na kuharakisha maendeleo ya chanjo kufuatia mlipuk . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Israel yamuua kamanda mpya wa tawi la kijeshi la Hamas

Israel imetangaza leo kuwa imemuua kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Odeh mauaji hayo yamefanyika baada ya Israel . . .

Dini
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Waislamu duniani waadhimisha sikukuu ya Eid al-Adha

Zaidi ya Waislamu milioni 1.7 wanaotekeleza ibaada ya Hijja mwaka huu wameshiriki leo ibada ya kumtupia mawe Shetani katika bonde la Mina . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Mama mzazi wa hayati Magufuli kuzikwa ijumaa Chato serikali kugharamia mazishi

Mama mzazi wa Hayati John Pombe Magufuli Bi. Suzana Magufuli anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa katika makaburi ya familia yaliyopo nyu . . .

afrika mashariki
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Tinubu ashinda uteuzi kupitia chama cha APC kugombea Urais Nigeria 2027

Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi . . .

siasa
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Rais Museveni amteua Mke wake kuwa waziri wa elimu na michezo

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemteua tena mkewe Janet Museveni kuendelea kuhudumu kama Waziri wa Elimu na Michezo katika Baraza . . .

SOKA
  • Na Jembe Digital
  • May 27, 2026

Aliyekuwa mchezaji wa Southampton Afariki Dunia

Klabu ya Southampton F.C. pamoja na Royal Antwerp F.C. zimethibitisha kifo cha aliyekuwa mchezaji wao wa akademi, Victor Udoh aliyefariki ak . . .

Kurasa 3 ya 246

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category