logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 31, 2026

Maduro Aonekana kwa Mara ya Kwanza Akiwa Gerezani Marekani

Aliyekuwa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza akiwa ndani ya gereza nchini Marekani, miezi kadhaa ba . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 31, 2026

Madaktari walio mafunzoni watishia kugoma

Huduma za afya nchini Kenya, huenda zikatatizika zaidi wiki hii kufuatia tishio la mgomo wa madaktari walio mafunzoni kutokana na kile wames . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 31, 2026

Uasi ulioitikisa serikali ya kijeshi Niger ndani ya saa 24

Mji mkuu wa Niger, Niamey, ulirejea katika hali ya utulivuJumapili baada ya takriban saa 24 za mapigano yaliyoutikisa utawala wa kijeshi wa . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 31, 2026

Mafuriko Nepal na Tibet: Vifo vyapindukia 900

Juhudi za uokoaji zinaendelea nchini Nepal na China baada ya mafuriko makubwa na maporomoko ya udongo yaliyotokea wiki iliyopita na yaliyosa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 30, 2026

Mbappe Kwenye Bio za Ballon d’Or

Kocha wa Real Madrid, Jose Mourinho, amesema mshambuliaji wa timu hiyo, Kylian Mbappe, ndiye anayestahili kushinda tuzo ya Ballon d’Or mwa . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 30, 2026

Mkwe wa Rais Emmerson Mnangagwa akamatwa kwa ulanguzi wa dawa za kulevya

Nchini Zimbabwe, mkwe wa Rais Emmerson Mnangagwa amekamatwa kwa tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya na utakatishaji fedha. Mawakili wa mke . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 30, 2026

Wananchi kutoa uamuzi wao wa ndiyo au hapana kuhusu katiba mpya

Wa-Guinea-Bissau wameitwa kupiga kura siku ya Jumapili, Agosti 30, 2026, kuunga mkono au kupinga mageuzi ya Katiba yao, ambayo yangebadilish . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 30, 2026

Waliopotea kwenye maafa ya Himalaya watafutwa

Waokoaji katika nchi za Nepal na China wanaendelea kuwatafuta maelfu ya watu ambao hawajulikani walipo baada ya mafuriko makubwa yaliyokumba . . .

Top Story
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

UEFA Yaandaa Kesi ya Jinai Dhidi ya Infantino

Shirikisho la Soka Ulaya (UEFA) linajiandaa kuanzisha mchakato wa kisheria nchini Uswisi dhidi ya Rais wa FIFA, Gianni Infantino, kwa tuhuma . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

Rais Samia Atuma Rambirambi Kifo cha Mfalme wa Norway

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kwa wananchi na Serikali ya Norway kufuatia kifo . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

Mkuu wa CIA Afanya Ziara ya Siri Moscow, Putin Apewa Onyo Kali

Mkurugenzi wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA), John Ratcliffe, ameripotiwa kufanya ziara ya siri mjini Moscow kwa kutumia ndege ya kije . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

Wabunge 324 Wamthibitisha Ndejembi kuwa Makamu wa Rais

Wabunge 324 wamepiga kura za “Ndiyo” kumthibitisha Makamu wa Rais Mteule, Deogratius John Ndejembi, kuwa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Mu . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

China inawasihi raia wake kuondoka Eswatini kwa sababu za kiusalama

China imewasihi raia wake kuondoka Eswatini, nchi ya kusini mwa Afrika ambayo ni moja ya mataifa machache duniani kudumisha uhusiano wa kidi . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

Nchi za Mashariki ya Kati zatafuta suluhu ya vita vya Iran

Waziri mkuu wa Qatar Sheikh Mohammed bin Abdulrahman Al Thani, amefanya mazungumzo mjini Tehran nchini Iran, katika juhudi za kupunguza mvut . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 28, 2026

Tshisekedi azindua mazungumzo ya kitaifa bila M23

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi, amezindua rasmi mchakato wa mazungumzo ya kitaifa kwa ajili ya amani, mshikaman . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • August 27, 2026

Ndizi Mbivu ni Tunda Bora kwa Afya

Ndizi mbivu ni miongoni mwa matunda yanayopatikana kwa urahisi na yanayopendwa na watu wengi kutokana na ladha yake tamu pamoja na virutubis . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 27, 2026

TANZANIA YAUNGA MKONO TEKNOLOJIA BUNIFU ZA NYUKLIA KUPITIA MPANGO WA ATLAS

Waziri wa Nishati na Makamu wa Rais Mteule, Mhe. Deogratius Ndejembi, amelipongeza Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa juh . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 27, 2026

Watu 160 wafariki Nepal na Tibet kutokana na mafuriko

Zaidi ya watu 160 wamefariki dunia na mamia wengine haijulikani walipo baada ya mafuriko makubwa kutokea katika eneo la mpakani kati ya Nepa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 27, 2026

Urusi yazionya Uingereza, Ufaransa kuipa Ukraine makombora

Urusi imesema inaweza kuyashambulia maeneo ya kijeshi ya Uingereza ndani na nje ya Ukraine kama hatua ya kujibu mashambulizi ya Ukraine dhid . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Askari wawili wafariki kwa kugongwa na gari Mailimoja

Askari wawili wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari wakati wakivuka katika kivuko cha waenda kwa miguu . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Shughuli za vyuo vikuu katika maeneo yanayokaliwa na M23 zasitishwa

Mamlaka nchini DR Congo imetangaza kusitishwa kwa shughuli za vyuo vikuu vya umma katika maeneo yanayodhibitiwa na waasi wa M23 mashariki ya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Mwana wa Museveni ataka urais mwaka 2031

Mkuu wa majeshi ya Uganda, Muhoozi Kainerugaba, ametangaza kuwa atawania urais katika uchaguzi wa mwaka 2031. Muhoozi ni mwana wa Rais Yower . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Karol G Atoa Bilioni 3.1 Kusaidia Waathirika wa Tetemeko Colombia

Msanii mkubwa wa muziki kutoka Colombia, Karol G, ameonyesha mshikamano na wananchi walioathiriwa na tetemeko kubwa la ardhi nchini humo baa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Allen Robinson Astaafu NFL Baada ya Miaka 11, Aanza Maisha Mpya

Mchezaji wa zamani wa Ligi ya Soka ya Marekani (NFL), Allen Robinson, ametangaza kustaafu kucheza soka la Marekani akiwa na umri wa miaka 33 . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • August 26, 2026

Moto Wazua Taharuki Hospitalini, Watoto Wachanga 14 Wafariki

Watoto wachanga 14 wamefariki dunia baada ya moto mkubwa kulipuka katika wodi ya kujifungulia na kuhudumia watoto wachanga katika Hospitali . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 25, 2026

Rais Samia Awatakia Waislamu Kheri katika Maadhimisho ya Maulid

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewatakia Waislamu na Watanzania wote kheri na baraka katika Maadhimisho . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • August 25, 2026

Zambia yaifunga mahakama pingamizi ya uchaguzi

Zambia ilizifunga shughuli za mahakama zote nchini hapo jana kwa kile ilichokiita sababu za kiusalama, hatua iliyozua ukosoaji mkali kutoka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 25, 2026

Makamu wa Rais Emmanuel Nchimbi ajiuzulu

Makamu wa Rais wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi, ametangaza kujiuzulu wadhifa wake kuanzia Septemba 4, 2026, chini ya mwaka mm . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 24, 2026

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA RAIS WA TAASISI YA MAENDELEO YA DIASPORA YA KIAFRIKA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiaf . . .

Mauaji
  • Na Asha Business
  • August 24, 2026

Mama Wa Miaka 18 Ashtakiwa kwa Mauaji Ya Mtoto Wake Wa Miaka Miwili

Mwanamke mwenye umri wa miaka 18, Devorah Diaz Perez, amekamatwa na kushtakiwa kwa mauaji ya mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka miwili . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 24, 2026

Miaka 35 ya Ukraine: Uhuru unaotegemea silaha za nje

Ukraine inaadhimisha miaka 35 ya uhuru huku ikikabiliwa na mashambulizi makali, masharti ya Urusi na utegemezi mkubwa kwa washirika. Kyiv in . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • August 24, 2026

Infantino awania muhula mwingine, licha ya upinzani

Rais wa FIFA, Gianni Infantino, anaendelea kusukuma ajenda yake ya kugombea tena urais, akijipambanua kama mtetezi wa mataifa dhaifu kwenye . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 24, 2026

Papa Leo atoa wito wa kudhibiti Ebola Congo

Kiongozi wa kanisa Katoliki duniani Papa Leo XIV, ametoa wito kwa jumuiya ya kimataifa kuongeza juhudi za kukabiliana na mlipuko wa Ebola nc . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Lomé yazungumza kwa mara ya kwanza kuhusu kukamatwa kwa waandishi wawili wa habari wa Ufaransa

serikali ya Togo inadai kwamba vyombo vya sheria vina "ushahidi mkubwa na thabiti" dhidi ya Gaël Mocaër na Sebastian Perez Pezzani.Gaël M . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

WAZIRI MKUU AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA HOSPITALI YA MWANANYAMALA

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza leo Jumapili, Agosti 23, 2026, katika Hospitali ya rufaa ya Mkoa Mwananyamal . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Maendeleo madogo yamepatikana katika mazungumzo kati ya Walibya mjini Tunis

Kufuatia mazungumzo kati ya Walibya huko Tunis siku ya Alhamisi, Agosti 20, 2026, yaliyowezeshwa na Ujumbe wa Usaidizi wa Umoja wa Mataifa n . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Zelensky asema uchaguzi wakati wa vita 'utaigawanya' Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kwamba itakuwa hatari sana kwa nchi hiyo kufanya uchaguzi wakati inapambana na uvamizi wa Urusi.A . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • August 23, 2026

Canada yaendeleza vita vya kibiashara na Marekani

Waziri Mkuu wa Canada Mark Carney amesema nchi yake iko katika vita vya kibiashara na Marekani. AMEtangaza ushuru kwa bidhaa za Marekani kul . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Dk Mwigulu aagiza kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vya AFCON

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuongezwa kasi ya ujenzi wa viwanja vya mazoezi vitakavyotumika katika mashindano ya Kombe la Mat . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • August 21, 2026

Lissu "Hakuna Mtu Asiyeweza Kuitwa Kuwa Shahidi Mahakamani"

Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu leo Agosti 21, 2026 amekataa hoja kwamba Rais wa Tanzania hawezi kupelekewa wito wa mahakama, akisema Rai . . .

Kurasa 3 ya 257

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category