logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Pata Habari Zote Hapa

  • Habari na Matukio Yote Ndani ya Nchi Na Duniani Kote
Top Story
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Mwanamke Afariki Baada ya Kulazwa ICU kwa Miaka 6

Mwanamke kutoka Mbarara ambaye alitumia miaka sita katika Kitengo cha Wagonjwa Mahututi (ICU) amefariki baada ya vita vya muda mrefu vya kim . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

RAIS DKT. MWINYI AIALIKA SWEDEN KUONGEZA UWEKEZAJI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizungumza na Balozi wa Sweden nchini Tanzania, . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Kizza Besigye amelazimishwa kuhudhuria kesi yake

Nchini Uganda, kesi ya uhaini ya Kizza Besigye imepangwa kuanza Julai 13, 2026. Kiongozi huyu mkongwe wa upinzani alifikishwa kwa nguvu mbel . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Spika wa Bunge la taifa atishia kuiangusha Serikali

Spika wa Bunge la tiaf la Senegal, Ousmane Sonko, ambaye alikuwa kiongozi wa upinzani nchini Senegal na Waziri Mkuu mfululizo kabla ya kuwa . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Ni Lamine ama Mbappe nusu fainali Kombe la Dunia

Ufaransa na Uhispania wanakutana baadae leo kwenye nusu fainali za michuano ya Kombe la Dunia, katika mechi inayotarajiwa kuwa ya mvutano na . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 14, 2026

Urusi yafanya mashambulizi mapya ya makombora dhidi ya Kiev

Urusi imefanya mashambulizi mapya ya usiku kucha ya makombora ya balistiki dhidi ya mji mkuu wa Ukraine Kiev huku milipuko kadhaa ikisikika . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • July 13, 2026

Hizi Hapa Faida Kubwa za Bamia Mwilini mwa Binadamu

Bamia (lady’s finger/okra) ni mboga yenye virutubisho vingi sana ambavyo vina faida kubwa mwilini. Hapa kuna baadhi ya faida kuu za kula b . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 13, 2026

Kizimbani kwa kughushi na kufuja mil.5.5

Mnamo Juni 29, 2026 TAKUKURU Wilaya ya Siha imefungua shauri la uhujumu uchumi namba 14596/2026 katika Mahakama ya Wilaya ya Siha ikiwa ni J . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 13, 2026

Muigizaji Sam Neill wa ‘Jurassic Park’ Afariki Dunia Akiwa na Miaka 78

Sam Neill, aliyepata umaarufu mkubwa duniani kupitia nafasi yake ya Dk. Alan Grant katika filamu za “Jurassic Park”, amefariki dunia aki . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 13, 2026

Kesi dhidi ya Eugene Rwamucyo yaingia katika hatua za mwisho

Kesi dhidi ya aliyekuwa daktari nchini Rwanda Eugene Rwamucyo anayetuhumiwa kwa mauaji ya kimbari mwaka 1994 ,ambayo imekuwa ikiendelea Pari . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 13, 2026

Kiongozi wa RSF ahukumiwa adhabu ya kifo Sudan

Mahakama nchini Sudan imepitisha hukumu ya kifo kwa kiongozi wa kundi la wanamgambo wa RSF nchini humo Mohamed Hamdan Daglo.Daglo amehukumiw . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 13, 2026

Iran "Marekani lazima iheshimu hati ya usitishaji vita"

Iran imetangaza kuwa haitoendelea kuheshimu makubaliano ya usitishaji vita, iliotia saini na Marekani kama Washington haitotimiza ahadi yake . . .

siasa
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Jenerali al-Burhan anapanga kubaki madarakani kwa miaka mitano baada ya vita

Hati rasmi kutoka ofisi ya Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, mkuu wa Baraza Kuu la Sudan, imevuja kwa vyombo vya habari. Hati hiyo inaonyesha . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Jayden Adams, kiungo wa Bafana Bafana amefariki dunia

Kiungo wa kati Jayden Adams, ambaye alishiriki michuano ya Kombe la Dunia la 2026 akiichezea timu yake ya Afrika Kusini, , Bafana Bafana ame . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Kocha Pape Thiaw afutwa kazi baada ya timu yake kushindwa kufanya vizuri Kombe la Dunia

Pape Thiaw si kocha tena wa timu ya taifa ya soka ya Senegal. Analipa gharama ya matokeo mabaya ya Simba kwenye Kombe la Dunia la 2026: kush . . .

Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Wananchi waridhishwa na huduma za Wizara ya Fedha Sabasaba

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa Mzenzi, ametembelea Banda la Wizara . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Seneta wa Marekani Lindsey Graham afariki dunia

Seneta wa Marekani kutoka chama cha Republican, Lindsey Graham, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 71, baada ya kuugua kwa muda mfupi.Gr . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Ukraine yakiri kushambulia kiwanda cha mafuta Urusi

Jeshi la Ukraine limesema limekishambulia usiku kucha kiwanda cha kusafisha mafuta katika eneo la Samara nchini Urusi.Kulingana na gavana wa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 12, 2026

Iran yasema Marekani inakiuka masharti ya kusitisha vita

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameishutumu Marekani kwa kukiuka masharti ya makubaliano kati ya mataifa hayo mawili yaliy . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2026

Idadi ya walioambukizwa Ebola Kongo inaendelea kupanda

Mashirika ya Afya barani Afrika yamesema kuwa mripuko wa ugonjwa wa Ebola katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo unaendelea kusambaa kwa kas . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2026

Watu 130 wakamatwa Tanzania kwa tuhuma za kuchochea uhalifu

Jeshi la Polisi Tanzania limesema limewakamata watu 130 kwa tuhuma za kuchochea vitendo vya uhalifu, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kudhibiti . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2026

Makamu wa rais wa Zambia anusurika ajali ya Helikopta ya jeshi

Makamu wa Rais wa Zambia Mutale Namulango amenusurika kifo baada ya Helikopta ya Jeshi la Anga la Zambia (ZAF) aliyokuwa akisafiri . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • July 10, 2026

Wakaazi wa Johannesburg wawakamata wageni na kuwakabidhi kwa polisi

Baadhi ya waandamanaji nchini Afrika Kusini wanaopinga uwepo wa wageni wasio na vibali nchini humo Julai 9,2026 walipita nyumba kwa nyumba k . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

WIZARA YA MADINI YAAHIDI KUSHIRIKIANA NA UAIT KUKUZA UONGEZAJI THAMANI WA MADINI YA VITO

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Madini, Msafiri Mbibo, amekihakikishia ushirikiano Chuo cha United African Institute of Technology (UAIT) Cha Ko . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Raia wa Zambia wajiandaa kwa uchaguzi mkuu wa mwezi ujao

Nchini Zambia wakati huu raia wakijiandaa kwa uchaguzi Mkuu wa mwezi ujao, Rais Hakainde Hichilema licha ya kupewa nafasi kubwa ya kushinda . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Ufaransa yafuzu nusu fainali ya kombe la dunia, yaiondoa Morocco

Wachezaji wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe na Ousmane Dembele, usiku wa kuamkia leo walifunga magoli muhimu yaliyotamatisha safar . . .

Mastaa
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Justin Bieber, Shakira, Madonna na BTS Kutumbuiza Fainali ya Kombe la Dunia 2026

Nyota wa muziki duniani Justin Bieber ataungana na Shakira, Madonna na kundi la BTS kutumbuiza kwenye onyesho maalum la mapumziko ya kipindi . . .

AFYA
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Mlipuko wa Ebola unasambaa kwa kasi 'kutisha'

Mamlaka za Afya barani Afrika zimesema mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ndio "unasambaa kwa kasi zaidi" kuwahi kushu . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Syria yawakamata washukiwa wa milipuko iliyotikisa Damascus

Syria imekamata mtandao wenye mafungamano na kundi la Dola ya Kiislamu (IS) linalodaiwa kuhusika na milipuko miwili ya mabomu iliyotokea wak . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 10, 2026

Trump azungumza na Netanyahu kuhusu vita vya Ghuba

Rais wa Marekani Donald Trump amemuarifu Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu kuhusu operesheni za Marekani katika eneo la Ghuba, ofisi . . .

Uchumi biashara
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

soko la dunia lahitaji tani laki tano kwa mwaka zao la mkonge

Zao la mkonge linaendelea kuwa moja ya mazao yenye fursa kubwa za kiuchumi nchini Tanzania. Kwa mujibu wa Bodi ya Mkonge Tanzania, uzalishaj . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

Rais Samia Apongeza Hatua ya Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema uungwana haupaswi kuzaa kiburi wala kutoweka nafasi ya kusikiliza . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

Dkt. Mwinyi na Othman Masoud Waandika Historia Mpya ya Maridhiano Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amekutana na Mwenyekiti wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa, Ot . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

France na Morocco Kukutana Katika Robo Fainali ya Moto ya Kombe la Dunia 2026

Ulimwengu wa mpira wa miguu unasubiri kwa hamu mchezo wa leo Alhamisi, tarehe 9 Julai 2026, ambapo mabingwa wa zamani France watakabiliana n . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

Amnesty "Mashambulizi ya Israel nchini Lebanon yachunguzwe"

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limeishutumu Israel kwa kuangamiza familia katika mashambulizi yake nchini Leba . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

Moscow yalaani maamuzi ya NATO ya kuisaidia kijeshi Ukraine

Urusi imelaani maamuzi ya jumuiya ya NATO ikisema yanaweza kuwa na athari mbaya kabisa, baada ya muungano huo kutangaza msaada wa kijeshi kw . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • July 9, 2026

Wairan kumzika Ayatollah Ali Khamenei nyumbani kwake Masshad

Raia nchini Iran hii leo wanajiandaa kumzika kiongozi wao Ali Khamenei, katika mji alikozaliwa wa Mashhad, huku mashambulizi mapya ya Mareka . . .

SOKA
  • Na Asha Business
  • July 8, 2026

Kocha Misri Awaka “Kombe la Dunia 2026 Wamepanga Argentina Awe Bingwa”

Baada ya Mafarao, Misri kutupwa nje ya michuano ya Kombe la Dunia 2026, Kocha mkuu wa timu hiyo, Hossam Hassan amelalamikia maamuzi ya waamu . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • July 8, 2026

Rais wa Zimbabwe asaini sheria inayoongeza muda wa urais wake

Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa amesaini kuwa sheria muswada unaoongeza muda wake wa kuhudumu madarakani kwa miaka miwili zaidi, hadi m . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • July 8, 2026

Tehran yasema imelenga kambi za Marekani Kuwait na Bahrain

Walinzi wa Mapinduzi wa Iran wametangaza leo Jumatano kwamba wameshambulia vituo 85 katika kambi za kijeshi za Marekani huko Kuwait na Bahra . . .

Kurasa 3 ya 252

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Habari Category