Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa namna yoyote kuihusisha Tanzania na Ubaguzi wa aina yoyote, au kudai inakiuka msingi ya demokrasia huku iki . . .
Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, anaripotiwa kuwasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kudai kupokonywa mamlaka ndani ya mfumo wa uongozi wa nc . . .
Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya awali kum . . .
Nchini Sudan Kusini, Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula Duniani (WFP) halina uwezo. Kulingana na makadirio ya hivi karibuni ya . . .
Waethiopia milioni hamsini wameitwa kushiriki uchaguzi leo Jumatatu ili kuwachagua wabunge wao na maafisa wa kikanda. Wengi watakaochaguliwa . . .
Wauguzi wanne waliokuwa wanatibiwa baada ya kuambukizwa virusi vya Ebola wameruhusiwa kutoka hospitalini huko Bunia mashariki mwa Jamhuri ya . . .
Mtoto mmoja ameuawa na watu wengine 11 wamejeruhiwa kufuatia mashambulizi ya droni ya Ukraine kwenye mkoa wa kusini mwa nchi hiyo wa Kherson . . .
Arsène Wenger amesema mafanikio ya timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, yanaonyesha kuwa Tanzania ina kizazi kipya ch . . .
Marekani yaonya iko tayari kurejea vitani na Iran huku Trump akisisitiza masharti makali ya makubaliano ya amani wakati mazungumzo na mvutan . . .
Rais wa Myanmar Min Aung Hlaing amewasili nchini India kwa mazungumzo na Waziri Mkuu Narendra Modi na Rais Droupadi Murmu ikiwa ni ziara yak . . .
Zambia imechunguza na kuthibitisha kuwa hakuna maambukizi katika visa viwili vilivyoshukiwa kuwa na Ebola huku ikiongeza ukaguzi na ufuatili . . .
MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro Nurdin Babu amewataka wadau wa kahawa Kanda ya Kaskazini kuongeza juhudi za kuimarisha soko la ndani la zao hilo . . .
MAMLAKA ya Kenya imewakamata wanafunzi wanane wanaoshukiwa kuchoma moto bweni la shule la wasichana ikiwa ni siku chache zilizopita na . . .
Arsenal wanatarajiwa kuingia katika mchezo wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Paris Saint-Germain (PSG) leo Mei 30, 2026 wakiwa n . . .
Mchezaji wa zamani wa timu ya Timu ya Uingereza Raheem Sterling amekamatwa na polisi kufuatia ajali aliyopata akiwa anaendesha gari lake la . . .
Mchai chai ni moja ya vinywaji vinavyopendwa sana Afrika Mashariki kutokana na ladha yake tamu pamoja na viungo vyenye manufaa kiafya Mara n . . .
Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Baraka Luvanda amepokea mitambo mitatu ya utambuzi wa kemikali zinazotumika kwe . . .
Mashabiki wa msanii wa Afrika Kusini, Tyla, wameibua taharuki mtandaoni baada ya nyota huyo kuzima akaunti zake za X na TikTok huku akiifany . . .
Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano huku zikisubiri idhini ya Rais wa Marekani Donald Tr . . .
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ametahadharisha kuhusu mwelekeo wa vita vinavyoendelea nchini Ukraine na kusema, "ongezeko . . .
Mkurugenzi mkuu wa shirika la afya duniani WHO aliwasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo jana Alhamisi, ikiwa ni ishara ya kuunga mk . . .
Nchini Nigeria, kuelekea uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika mwezi Januari mwaka ujao, vyama vya siasa tangu Mei tarehe 23 vimekuwa vikifanya . . .
Kituo cha kuwahifadhi raia wa Marekani walioambukizwa virusi vya ebola, kinatarajiwa kufunguliwa nchini Kenya hivi leo, kwa mujibu wa maafis . . .
Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam hii leo Mei 28, 2026 imeifuta rasmi hati ya kesi ya madai iliyokuwa imefunguliwa dhi . . .
Kombe la Dunia 2026 litaanza rasmi Juni 11, 2026 ambapo wenyeji Mexico watafungua pazia dhidi ya South Africa katika mchezo wa ufunguzi utak . . .
Wanafunzi16 wamefariki dunia huku wengine 74 wakijeruhiwa baada ya moto mkubwa kuteketeza bweni la wanafunzi katika Chuo cha Wasichana cha U . . .
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Paul Makonda amemteua Haji Manara kuwa msemaji wa timu zote za Taifa za Tanzania zinazoshiriki . . .
Israel imetangaza kwamba imemuua Mohammed Odeh mkuu mpya wa tawi la kijeshi la Hamas katika ukanda wa Gaza katika shambulio lililofanyika Ju . . .
Rais wa Marekani Donald Trump amepuzilia mbali ripoti kwamba Iran na Oman zitachukua jukumu la kusimamia shughuli za usafiri katika Mlango B . . .
Serikali ya Uganda imeamuru kufungwa kwa mpaka wake na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kufuatia ongezeko la visa vinavyoshukiwa kuwa vya ai . . .
Kocha anayeondoka wa Crystal Palace Oliver Glasner amesema hana mpango wowote wa haraka kuhusu mustakabali wake wa kazi baada ya kuiongoza t . . .
Urusi na Ukraine zimeendelea kushambuliana vikali usiku kucha kwa kutumia droni na makombora. Mapigano hayo yanaonesha kuendelea kwa mvutano . . .
Rais wa Marekani Donald Trump atakutana na Baraza lake la Mawaziri leo Jumatano wakati mazungumzo ya kumaliza vita na Iran yakiwa bado hayaj . . .
Kituo cha udhibiti na kuzuia magonjwa Afrika CDC kimesema kuwa kimeongeza juhudi za kinga na kuharakisha maendeleo ya chanjo kufuatia mlipuk . . .
Israel imetangaza leo kuwa imemuua kiongozi mpya wa tawi la kijeshi la Hamas huko Gaza Mohammed Odeh mauaji hayo yamefanyika baada ya Israel . . .
Zaidi ya Waislamu milioni 1.7 wanaotekeleza ibaada ya Hijja mwaka huu wameshiriki leo ibada ya kumtupia mawe Shetani katika bonde la Mina . . .
Mama mzazi wa Hayati John Pombe Magufuli Bi. Suzana Magufuli anatarajiwa kuzikwa siku ya Ijumaa katika makaburi ya familia yaliyopo nyu . . .
Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepata rasmi tiketi ya chama tawala cha All Progressives Congress (APC) kuwania urais katika uchaguzi . . .
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amemteua tena mkewe Janet Museveni kuendelea kuhudumu kama Waziri wa Elimu na Michezo katika Baraza . . .
Klabu ya Southampton F.C. pamoja na Royal Antwerp F.C. zimethibitisha kifo cha aliyekuwa mchezaji wao wa akademi, Victor Udoh aliyefariki ak . . .