Mama Diamond amepunguza tetesi za Diamond na Zuchu

Wawili hao wamezungumza mengi kuhusu mahusiano ya mapenzi ambayo yalikuwa yanadaiwa kuwepo huku mashabiki wengi wakiamini wimbo huo umethibitisha kwamba wawili hao ni wapenzi.

Wadau wa mambo wakawa wanadai @diamondplatnumz anashindwa kujiachia kwa @officialzuchu kwa kuweka mambo hadharani kwamba anampenda Zuchu kwa kuwa @mama_dangote hapendi mahusiano hayo.

Jumatatu hii @mama_dangote amepost video ikimuonyesha @officialzuchu na @diamondplatnumz wakiimba wimbo ‘Mtasubiri’ ujumbe ambao unadaiwa utapunguza kelele.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii