Papa Leo XIV ametembelea Msikiti Mkuu wa Algiers, msikiti wa tatu kwa ukubwa duniani baada ya ule wa Makka na Madina.
Akiwa huko, amelakiwa na viongozi wa msikiti huo na kushiriki mazungumzo ya kidini yanayolenga kuimarisha mahusiano na uelewano kati ya dini mbalimbali.
10YrsJembefm #Familiamoja #AhsantekwaTime