K2GA ANAJAMBO LAKE LEO

Msanii wa bongo  flave k2ga kutoka kundi la kings music  ametangaza kuachia ngoma mpya mchana wa leo. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ametangaza kuachia ngoma ya #RangiRangi.


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii