logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Tozo za simu zimeingizia Tamisemi Sh320 bilioni kwa ajili ya Tarura

Fedha za tozo zimeingiza Sh320 bilioni katika Mfuko wa Barabara Mjini na Vijijini(Tarura). Fedha hizo zimepatikana na hivyo zinapelekwa kwenda kumaliza migogoro na changamoto ya barabara nyingi a . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 14, 2022

Mamlaka Ya Serikali Mtandao Yatekeleza Agizo La Rais Samia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe. Jenista Mhagama ameipongeza Mamlaka ya Serikali Matandao (eGA) kwa kutengeneza mfumo utakaowezesha mifumo mbali . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 11, 2022

ZIC YAKUTANA NA MAWAKALA WAKE YAAHIDI KUBORESHA MAHUSIANO

SHIRIKA la Bima Zanzibar (ZIC) Februari 10 limekutana na kuzungumza na Mawakala na Madalali wa shirika hilo katika kikao kilichofanyika Hoteli ya Cate Jijini Dar es Salaam.Aidha Mkurugenzi Mten . . .

news
Kimataifa
  • Na JZ The Brand
  • February 10, 2022

Almasi nyeusi yenye umri wa mabilioni ya miaka yauzwa kwa dola milioni 3.16

Almasi nyeusi yenye umri wa mabilioni ya miaka inayoaminika kuwa almasi kubwa zaidi iliyokatwa duniani, imeuzwa kwa £3.16m.Kwa jina la The Enigma, jiwe hilo la thamani ya karati 555.55 ambalo lina . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Gsengo
  • February 9, 2022

WAZIRI GWAJIMA AZINDUA KITUO CHA WATOTO SOKO LA MIRONGO MWANZA

Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Dkt. Dorothy Gwajima Mapema ya leo Februari 09, 2022 akikata utepe kama ishira ya kuzindua Kituo cha Malezi na Makuzi kwa Watoto Mirong . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

Rais Wa Benki Ya AADB Ahaidi Neema Kwa Tanzania

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb), ameishukuru Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa kuahidi kutekeleza miradi mipya katika sekta mbalimbali ikiwemo ya kilimo n . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 9, 2022

CEO ROUNDTABLE WAWASILISHA MKAKATI WA SHIRIKA 2022-2025 UKIZINGATIA UENDELEVU NA ATHARI CHANYA

Akizungumza na vyombo mbalimbali vya habari Mkurugenzi mtendaji wa CEO ROUNDTABLE TANZANIA Ndugu Santina Benson, CEOrt inaongozwa na kanuni za uongozi wa kimaadili na inakuza ushirikiano kati ya sekta . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na JZ The Brand
  • February 8, 2022

TMA yaagizwa kubuni vyanzo vya mapato

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi (Sekta ya Uchukuzi), Dkt. Ally Possi, ameitaka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), kubuni vyanzo vya mapato ambavyo ni himiilivu na visivyoumi . . .

news
Viwanda
  • Na Asha Business
  • February 6, 2022

Kamati ya kudumu ya bunge viwanda na biashara yaiagiza SIDO

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira imelipongeza Shirika la kuhudumia Viwanda Vidogo (SIDO) kwa kuendesha Mfuko wa Taifa Kuendeleza Wajasiliamali Wananchi (NEDF) kwa . . .

news
Kilimo
  • Na Asha Business
  • February 4, 2022

Saudi Arabia kuwekeza kwenye kilimo

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa wawekezaji kutoka Kiwanda cha Pioneers Chemical Factory ch . . .

news
Viwanda
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Waziri Kijaji: Tanzania Itaendeleza Ushirikiano Wa Kibiashara Kati Ya Tanzania Na Uingereza

Waziri wa Uwekezaji Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uingereza nchini Mhe. David Concar kwa lengo la kuendeleza ushirikiano na Uinge . . .

news
Teknolojia
  • Na Asha Business
  • February 2, 2022

Dkt. Nchemba Ateta Na Chama Cha Watoa Huduma Za Simu Tanzania

Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) amekihakikishia Chama cha Watoa Huduma za Simu Tanzania (TAMNOA) kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira mazuri ya biashara yat . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Asha Business
  • January 31, 2022

Tume Ya Madini Yaagizwa Kutafuta Madini

Naibu Waziri wa Madini, Dkt. Steven Kiruswa ameiagiza Tume ya Madini kutafuta Masoko ya wanunuzi wakubwa wa madini ya Vito ndani na  nje ya nchi ili kuwawezesha  wachimbaji wa madini k . . .

news
Viwanda
  • Na Gsengo
  • January 28, 2022

TFRA YAWASHAURI WAKULIMA KUNUNUA MBOLEA KWA PAMOJA

SHEHENA: Shehena ya mbolea ikiwa katika moja ya maghala yaliyopo mkoani Mbeya tayari kwa matumizi wakati wa msimu wa kilimo.Mkaguzi wa mbolea Allan Mariki, akikagua ubora wa mbolea katika moja ya ghal . . .

news
Uchumi | Biashara Kimataifa
  • Na Gsengo
  • January 28, 2022

SERIKALI YAUHAKIKISHIA MGODI WA NYANZAGA MAZINGIRA RAFIKI YA UWEKEZAJI.

 Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko amefanya mazungumzo na ujumbe wa viongozi kutoka mgodi wa Nyanzaga (Nyanzaga Mining Company Limited) uliopo Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza lengo ikiwa ni ku . . .

Kurasa 9 ya 10

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • “THE GUY WITH ENERGY” ALBAMU YENYE SAFARI YA MUZIKI WA DK BALAFU

    • 6 masaa yaliopita
  • Jeshi la Israeli lawauwa watu 10 kusini mwa Syria

    • 6 masaa yaliopita
  • Baba na Mama Waua Mtato Wao

    • 6 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode