logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • HABARI ZA MASTAA
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Habari Za Kiuchumi Na Biashara

  • Pata Habari Zote Za Biashara Na Uchumi
news
Uchumi | Biashara
  • Na Gsengo
  • January 6, 2022

MBUNGE MSAMBATAVANGU : VIJANA TENGENEZENI VIKUNDI VYA KIUCHUMI

 Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini Jesca Msambatavangu amefanya mazungumzo binafsi na wajumbe wa baraza la vijana la wilaya ya Iringa Mjini chini ya Mwenyekiti wake Ndg Salvatory NgereraKatika mazu . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • January 2, 2022

MAKUSANYO TRILION 2.5 DESEMBA.

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema katika kipindi cha Mwezi December 2021 imekusanya TZS trilioni 2.51 kati ya lengo la kukusanya Tsh. Trilioni 2.29, makusanyo hayo yana ufanisi wa 109% na ndich . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 30, 2021

Waitara aagiza mgambo, JKT kukagua tiketi

Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita Waitara ameagiza Mamlaka za Usafiri wa Ardhini (Latra) nchini kuendeleza zoezi la ukaguzi wa tiketi za abiria kwenye vituo vya mabasi vya mikoa  kwa kuwa . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 27, 2021

Kapu La Masta Shangwe Lasambaza Upendo Kwa Wakazi Wa Dar Es Salaam.

Mkuu wa Mauzo Vodacom Kanda ya Dar es Salaam na Pwani, Brigita Shirima (kushoto) akimkabidhi zawadi ya smart Tv mmoja kati ya washindi wa wiki ya tatu wa  promosheni ya " Show Love, Tule Shangweâ . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 26, 2021

Tanzania yatangaza masharti mapya ya Covid-19 kwa wasafiri wa kimataifa

Tanzania imetoa masharti mapya ya usafiri kwa wasafiri wanaoingia na kutoka nchini humo kama hatua ya kudhibiti maambukizi ya virusi vya Covid -19.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa W . . .

news
Uchumi | Biashara
  • Na Gsengo
  • December 17, 2021

SHIRIKA LA CIAT, TALIRI WAKAMILISHA UTAFITI WA MALISHO YA MIFUGO

Mwakilishi wa Shirika la kimataifa la Utafiti la CIAT, Dkt. An Notenbaert (katikati) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Dkt. Vincent Anney (kulia) kalenda ya Shirika hilo ya mwaka 2022 muda mfupi ba . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • December 8, 2021

JOKATE AWAMWAGIA SIFA WAWEKEZAJI.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke (DC), Jokate Mwegelo amesema anafurahishwa na namna ambavyo wawekezaji wanaonyesha imani na Serikali na kuzidi kutanua wigo wa biashara zao. Amesema hatua hiyo si tu inachanga . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 8, 2021

JITIHADA ZA KUIMARISHA MAZINGIRA YA UWEKEZAJI BADO ZINAENDELEA - DKT. HUSSEIN MWINYI

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Mapinduzi Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefungua Kongamano la Uwekezaji lililofanyika katika ukumbi wa Golden Tulip Zanzibar leo tarehe 7 Desemba, 2021.Akihutubi . . .

news
Tuzo
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Benki Ya CRDB Yaibuka Mshindi Wa Jumla Tuzo Za NBAA

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya CRDB, Fredrick Nshekanabo akipokea tuzo ya mshindi wa jumla kwa uwasilishaji bora wa Taarifa za Fedha Nchini kwa viwango vya kimataifa, kutoka kwa Mhasibu Mkuu wa Serik . . .

news
Kilimo
  • Na Jembefmtz
  • December 6, 2021

Sababu ya Mwanri Kuamrisha Shamba Livurugwe - Geita

Balozi wa zao la pamba nchini Aggrey Mwanri, ameamrisha shamba la Jeremia Kisumo na Laher Robert wakazi wa Mshinde, Kata ya Bung’wangoko, mkoani Geita livurugwe na waanze kupanda upya zao hilo, baad . . .

news
Top Story
  • Na Jembefmtz
  • December 5, 2021

WAJASILIAMALI WAHIMIZWA KUTENGENEZA BIDHAA ZENYE UBORA ILI KULINDA SOKO

Na Mwandishi Maalum, MwanzaWajsasiliamali wametakiwa kuendelea kuboresha bidhaa zao ili kudhibiti soko la nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na hatimaye Afrika nzima, hususan katika kipindi hik . . .

news
Top Story
  • Na Suzuki
  • December 2, 2021

KARIAKOO MPYA UJENZI KUANZA BAADA YA DESEMBA 09 MWAKA HUU.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Amos Makalla amesema ukarabati wa Soko la Kariakoo lililoungua na Ujenzi wa Soko jipya la Ghorofa 6 utaanza baada ya December 09 baada ya Mkandarasi kupatikana.RC Makall . . .

Kurasa 9 ya 9

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • PSG watwaa kombe la kwanza Ligi ya Mabingwa Ulaya

    • 4 masaa yaliopita
  • Kiungo Liverpool atwaa tuzo, awabwaga Cole Palmer na wenzake

    • 11 masaa yaliopita
  • Rekodi za mrithi wa Trent Alexander Arnold ni balaa

    • 12 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode