Bajeti kuu ya serikali kusomwa leo bungeni

Wakati mkutano wa 19 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ukiendelea Jijini Dodoma, pamoja na mambo mengine leo Juni 12, 2025 kuanzia saa 10:00 jioni, Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba atawasilisha bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2025/2026.

Kabla ya kuwasilisha hotuba hiyo Bunge linatarajiwa kupitisha hali ya uchumi wa Taifa kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka wa fedha 2025/2026
Ili kupata taarifa zaidi endelea kutufuatilia kupitia website yetu ya www.jembenijembe.com kupitia Instagram ,Facebook, tikok,x zamani twitter pamoja na YouTube 

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii