CCM KILIMANJARO WAMTAKA NDUGAI AJITAFAKARI.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Kilimanjaro, Patrick Boisafi amedai kuwa kauli aliyoitoa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, juu ya deni la taifa ni fedheha kwa Rais Samia Suluhu Hassan na uchochezi kwa nchi.

Boisafi ametoa kauli hiyo leo Jumamosi Januari Mosi, 2022 wakati akitoa tamko la chama hicho kwa mkoa huo kuhusiana na kauli hiyo, ambapo amesema kiongozi huyo anapaswa kujitafakari.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii