Uapisho wa Makamishna, Skauti Mkuu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaapisha Makamishna wa Tume ya Utumishi wa Mahakama pamoja na Skauti Mkuu, Rashid Kassim Mchatta katika hafla iliyofanyika Ikulu Chamwino Mkoani Dodoma hii leo Februari 10, 2023.

Mara baada ya uapisho huo, Rais Samia alifanya pia mazungumzo na Viongozi mbalimbali na yafuatayo ni baadhi ya matukio katika picha wakati wa uapisho huo.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii