Robert Lewandowski hajakubali kujiunga na Real Madrid

mshambuliaji wa Poland, Robert Lewandowski pale Bayern Munich unamalizika mwaka 2023, wakati mkongwe huyo mwenye miaka 33 akitaka mkataba mpya kusalia katika klabu hiyo ya Ujerumani, hakuna mazungumzo yaliyofanyika mpaka sasa. (Fabrizio Romano).

Mshambuliaji wa Borussia Dortmund na Norway, Erling Braut Haaland hajakubali kujiunga na Real Madrid katika dirisha lijalo la majira ya joto, kwa mujibu wa mchezaji mwenzake na mshambuliaji wa zamani wa Middlesbrough Jan Aage Fjortoft,21. (Mundo Deportivo)

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii