Alisainiwa kwa mkopo wa miezi mitatu kwa Kombe la Dunia la Klabu ya FIFA ya 2025. Baada ya mashindano kumalizika, walitaka kumsaini.
Lakini kocha mkuu wa Benchachem hajaridhika na utendaji wa kiungo kwa kumtumia katika msimu mpya 2025/26
Dakika 11 pekee zimetosha kumpima azizi k na kugundua hana kiwango cha kuendelea kusalia Klabuni hapo