NYOTA WA BARCELONA ATIMKIA AS MONACO

AS Monaco imefikia makubaliano na Barcelona ya kumsajili winga wake Ansu Fati kwa mkopo wenye chagua la kumnunua moja kwa moja 

Ansu Fati atasaini mkataba mpya na Barcelona na ataenda kujiunga na AS Monaco kwa mkopo.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii