Waamuzi YANGA NA SIMBA ni waarabu watupu

Waamuzi wa mchezo wa Derby kati ya Yanga SC vs Simba SC wanatoka Misri na Somalia.

Mwamuzi wa kati  - Amin Mohamed Amin Omary (Misri)

Ass Referee 1 - Mahmoud Ahmed Abo El Regal (Misri)

Ass Referee 2 - Samir Gamal Saad Mohamed (Misri)

Mwamuzi wa Akiba - Ahmed Mahrous Elghandour (Misri)

Mtathimini waamuzi - Alli Mohamed (Somalia)

Match Com - Salim Omary Singano (Tanga - Tanzania)


Mchezo huo utaamua Bingwa wa ligi msimu huu na utafanyika uwanja wa Benjamin Mkapa Jumatano Juni 25, 2025 saa 11:00 Jioni.

#simbasc #yangasc

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii