LEO Januari 29 Yanga itakuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi mbele ya Mbao FC ambayo nayo pia inaska ushindi kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho hatua ya 32 bora, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.
Hiki hapa kikosi cha Yanga kinachotarajiwa kuanza mchezo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni:-
Mshery Aboutwalib
Paul Godfrey
Yassin
Bakari Mwamnyeto
Dickson Job
Zawad Mauya
Sure Boy
Jesus Moloko
Ambundo
Farid Mussa
Fiston Mayele
Akiba
Johora
Bryason
Bacca
Balama
Ngushi
Ushindi
Nkane
Kaseke