Haji Manara Afikiria Kumuoa Mange Kimambi,

Mnanishauri kitu ? Nikutana nae? Nimfanye nini maana mimi ndio Mtu kanipost mara nyingi na kanizushia sana kuhusu kuchafua hali ya hewa?

Au nioe tu na yeye tupate kulea Watoto?

Atakubali masharti yangu ya kutodhihaki Viongozi wangu ?
Maana mm kwa CCM huna la kunieleza!!

Atanipost tena kwa umbea umbea wake? Nikichafua hali ya hewa atamezea?

App yake niicontrol mimi ?

Atakubali kunenepa japo aongeze kishepu chake?Maana mm mwafrika nataka na vinyama nyama kidogo mwilini!!

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii