Mnanishauri kitu ? Nikutana nae? Nimfanye nini maana mimi ndio Mtu kanipost mara nyingi na kanizushia sana kuhusu kuchafua hali ya hewa?
Atakubali kunenepa japo aongeze kishepu chake?Maana mm mwafrika nataka na vinyama nyama kidogo mwilini!!
Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii