Ronaldo Kumlipa Georgina Milioni 257 Kila Mwezi Endapo Wakiachana

Mitandao inaripoti kwamba Cristiano Ronaldo amesaini makubaliano ya kabla ya ndoa (pre-nup agreement) ambapo imeelezwa kwamba, kama ikitokea wakaachana, nyota huyo wa Ureno atakuwa akimlipa mpenzi wake Georgina Rodriguez kiasi cha (€100,000) zaidi ya TSh. Milioni 257 kila mwezi katika kipindi chote cha maisha yake.

Ronaldo na Georgina wana watoto wawili pamoja huku wakilea familia ya watoto watano ambao Ronaldo aliwapata nje.


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii