NICK CANNON AKIRI KUWA HAIPENDI NDOA

Msanii na mwigizaji nick cannon kutoka nchini marekani ambaye mara kadhaa amekuwa akiingia katika vichwa vya Habari kutokana na namna ambavyo amekuwa akipata Watoto na wanawake tofauti tofauti kwa kufatana kitu ambacho kimekuwa mjadala kwa watu wengi kuhusu idadi ya Watoto ambayo ni kubwa .

Nick cannon aliwahi kufunga ndoa na mwanamuziki maraiah carey miaka kadhaa iliyopita ambaye waliachana kutokana na sababu ambazo zilikuwa nje ya uwezo wao,sasa wengi wamekuwa wakijiuliza kuhusu msanii huyo kwanini asiwe na mke .