Wachezaji wa Saudi Arabia watazawadiwa gari aina ya Rolls Royce
Phantom baada ya kuifunga Argentina kwenye Kombe la Dunia la Fifa 2022.
Rolls
Royce itazawadiwa kwa kila mchezaji mmoja mmoja na Mfalme wa nchi hiyo,
na hii si mara ya kwanza kwa zawadi za gharama kubwa kuzawadiwa
wachezaji wa nchi hiyo.
Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii