SHEKH WA MKOA WA MWANZA AOMBA MADRASA ZOTE MKOANI MWANZA KUFUNGWA .

Shekh wa mkoa  wa mwanza shekh Hasani Kabeke katika hatua za mwisho leo taehe 22- 8- 2022 amehamasisha sensa na kutoa maelekezo kwa ofisi za bakwata  na madrasa zote zilizopo mkoani mwanza  na kufungwa kwa siku moja  ya tarehe 32-8 -2022 ili kubaki majumbani ili kupokea makarani wa sensa na kuweza kufanikisha zoezi la kuhesabiwa kwa maendeleo ya taifa. 

Aidha amewaomba wananchi kutoa tarifa sahihi kwa  makarani watakao fanya sensa ya watu na makazi ili serikali ipate takwimu sahihi za kila eneo na  kwaajili ya maendeleo nchi.  

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii