RAIS MWINYI AZUNDUA KITUO CHA MABASI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, akizindua Kituo cha Mabasi ya Umeme (ZAN BUS), kilichopo Malindi, Mkoa wa Mjini Magharibi, Unguja, leo tarehe 23 Julai 2026


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii