Taifa la Ghuba Lapiga Marufuku Kuajiri Wafanyakazi wa Ndani Kutoka Kenya, Nchi Nyingine 25 za Afrika

Kuwait imeanzisha mabadiliko makubwa katika kanuni zake za kuajiri wafanyakazi wa ndani, ikiidhinisha nchi 10 pekee kama vyanzo vya ajira huku ikipiga marufuku kuajiri kutoka kwa nchi zingine 27, kulingana na ripoti za vyombo vya habari vya ndani.

Waraka huo, uliotolewa na Wizara ya Mambo ya Ndani, unalenga kudhibiti sekta ya kazi za ndani, kuongeza usimamizi, na kurahisisha ajira. Kulingana na Gulf News, hatua hiyo inafuatia mapendekezo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Wizara ya Afya, na Mamlaka ya Umma ya Nguvu Kazi.

Mataifa yaliyoruhusiwa

South Africa

Benin

Senegal (Male only)

Eritrea

Ethiopia

Philippines

Sri Lanka

India

Vietnam

Nchi zilizopigwa marufuku Africa (26 countries)

Kenya, Uganda, Nigeria, Togo, Malawi, Chad, Djibouti, Niger, Guinea, Guinea-Bissau, Cabo Verde, Sierra Leone, Liberia, Mali, Burkina Faso, Gambia, Cameroon, Equatorial Guinea, Central African Republic, Madagascar, Republic of the Congo, Democratic Republic of the Congo, Rwanda, Burundi, Angola, Senegal. Asia.

 

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii