Mwenyekiti wa Bunge, Najma Giga, ameongoza Kikao cha Tano cha Mkutano wa 3 wa Bunge la 13 leo Aprili 9, 2026 jijini Dodoma.
Katika kikao hicho, wabunge wameendelea kujadili makadirio ya mapato na matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2026/27.
10YrsJembefm #Familiamoja #AhsantekwaTime