Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, ametimiza siku 365 tangu kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa tuhuma za uhaini na uchochezi.
Katika kuadhimisha siku hiyo, Chadema wameandaa mjadala wa wazi kujadili mustakabali wake, huku wadau wa siasa ndani na nje ya Tanzania wakitoa wito kwa nchi za Afrika Mashariki kuimarisha demokrasia.
Itakumbukwa kuwa Tundu Lissu alikamatwa na kuwekwa gerezani Aprili 9, 2025, tukio lililoashiria mwanzo wa kipindi chake cha gerezani kilichoendelea kwa mwaka mzima.
10YrsJembefm #Familiamoja #AhsantekwaTime