Viongozi na wanachama wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) wakiwa katika maandamano kutoka Buhongwa kwenda Uwanja wa Furahisha jijini Mwanza ambapo watafanyika uzinduzi na operesheni ya C4C ‘Chaumma 4 Change’ leo Jumanne Juni 3, 2025.
Miongoni mwa viongozi wa chama hicho waliopo kwenye maandamano hayo ni Naibu Katibu Mkuu-Bara, Benson Kigaila, na viongozi wengine mbalimbali waliohudhuria katika kampeni hiyo.
Ili kupata taarifa zaidi endelea kutufuatilia kupitia website yetu ya www.jembenijembe.com kupitia Instagram ,Facebook, tikok,x zamani twitter pamoja na YouTube