Raila Odinga ataka Wakenya kususia ulipaji kodi

Kiongozi Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga amewataka Wakenya kususia kulipa kodi ambayo imeongezeka maradufu tangu kuingia kwa utawala wa Rais William Ruto, huku akitaka matokeo ya uchaguzi wa mwaka jana 2022 yakaguliwe.

Odinga, ameyasema hayo wakati akiongea na wafuasi wake jijini Naorobi na kuongeza kuwa, Wakenya wamekuwa wakiishi maisha magumu tangu kuingia madarakani kwa Rais Ruto, kitu ambacho si sawa.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii