Zaidi ya watu 500 wamefariki baada ya kutokea kwa tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa kipimo cha Richter 7.9, lililoyakumba maeneo kadhaa ya katikati mwa nchi ya Uturuki na kaskazini magharibi mwa nchi Syria.
Vifo hivyo, vilitokea bada ya majengo kuporomoka huku vikosi vya uokoaji vikiendelea kuwatafuta waathirika waliokwama kwenye vifusi.