Ufaransa yaishtumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa M 23

Nchi ya Ufaransa, imeishtumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi wa M 23 wanaodaiwa kutekeleza mauaji ya raia 131 katika kijiji cha Kishishe, mwishoni mwa mwezi uliopita, katika jimbo la Kivu Kaskazini. 

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii