WAISLAMU KUFUNGA MARA MBILI MWAKA 2030

Kalenda ya Saudi Arabia ya mwaka 2030 inaonesha kwamba Waislamu katika mwaka huo watafunga mara mbili kwa mwaka

kwa mujibu wa mtaalamu wa Nyota Khalid al-Zaqaq, tofauti ya siku za hesabu hizo ina maana kwamba kila baada ya miaka thelathini mfungo wa ramadhani hutokea mara mbili kwa mwaka.

Unapotazama kalenda ya Saudi Arabia 2030 unaona kwamba Ramadhani ya kwanza itaanza Januari 6, huku Eid ikiangukia tarehe 5 Februari. Ramadhani ya pili inaangukia tarehe 26 Disemba mwaka huo huo.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii