logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Makala

  • Pata Makala Zote Hapa
Afya
  • Na Asha Business
  • September 5, 2024

Kahawa inaongezea wazee nguvu – Watafiti

Wengi ambao wametinga ukongwe huwa na tatizo la misuli yao kuisha nguvu au kulegea, ugonjwa ambao unafahamika kwa kimombo kama ‘Sarcopenia’.Ugonjwa huo hulemaza uwezo wa mwanaume kuwajibikia majukumu ya kawaida hata . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • May 14, 2024

Namna Ya Kukabili Tatizo La Harufu Mbaya Kinywani

TATIZO la harufu mbaya mdomoni au halitosis, laweza kusababishwa na bakteria ya kinywani. Yaweza kuwa pia kutokana na maradhi ya ufizi au masalio ya chakula kinywani.Wataalamu wa meno wanasema kwamba unapaswa kupiga . . .

Elimu
  • Na Asha Business
  • April 14, 2024

Jinsi Dijitali Inaweza Kukuza Talanta Ya Mtoto Wako

NI jukumu la mzazi kusaidia watoto wake kutumia dijitali kukuza talanta zao.Kulingana na mtaalamu wa malezi dijitali , wazazi wanaweza kutumia teknolojia ya dijitali kukuza vipawa vya watoto wao huku wakihakikisha usalam . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • April 8, 2024

Umuhimu Wa Watoto Wadogo Kupata Usingizi Wa Kutosha

WAKATI pacha wake James Mwema (aliomba jina libadilishwe) walikuwa wanazaliwa, ilikuwa siku njema maishani mwake.Hata hivyo, walipofikisha umri wa miezi mitatu na nusu, pacha hao hawakuwa wanalala ipasavyo mchana na hata . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 25, 2024

Wanasayansi Wapigia Debe Ulaji Wa Wadudu

HUKU idadi ya binadamu ikiendelea kuongezeka ulimwenguni na chakula kuwa haba, wanasayansi wamebaini kuwa kula wadudu ambao wana viwango vya juu vya protini kutakuwa jambo la kawaida miaka mingi inayokuja.Jinsi idad . . .

Teknolojia
  • Na Asha Business
  • March 5, 2024

Teknolojia Mpya Ya PEM Yatoa Vipimo Vya Uhakika Zaidi Kwa Kansa

WANASAYANSI wamegundua mbinu mpya ya kutambua kansa ya matiti huku ikipunguza uwezekano wa matokeo ya kupotosha.Kwa mujibu wa utafiti uliochapishwa kwenye jarida la chama cha rediolojia cha Amerika Kaskazini (RSNA) la&nb . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • March 5, 2024

Tambua Ugonjwa Wa ‘Appendicitis’ Unaonyemelea Watu Kimya Kimya

Japo chanzo cha ugonjwa huu bado hakijabainika, wataalamu wa afya wamehusisha ugonjwa huu na mtu kutokwa na kinyesi kilicho kigumu, kufura kwa tezi (lymph nodes) na kwa nadra sana, kuwepo na vifaa mwilini. Isitoshe, bakt . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 27, 2023

FAIDA ZA KUTUMIA PUA KATIKA UPUMUAJI KULIKO MDOMO.

Kupumua ni mchakato muhimu sana ambao hauitaji kujifunza: sote tunapumua tangu kuzaliwa na sio lazima tujizoeshe kupumua vizuri. Je, ni kweli? Kulingana na tafiti za hivi karibuni, inaonekana kwamba kuna mbinu fula . . .

Elimu
  • Na Nattyebrandy
  • September 26, 2023

GEREZA LA KUJITOLEA KOREA

Kila Nchi Inataratibu Zake Katika Kutekeleza Mambo Mbali Mbali Lakini Hili Linaweza Kuwa Moja Ya Jambo Litakalo Kuacha Na Maswali Zaidi.Ambapo Nchini Korea Ukiachana Na Kuwa Na Magereza Mahususi Kwaajili Ya Watu Waliofan . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • July 14, 2023

Fahamu Vyakula Vya Kuondoa Gesi Tumboni

WATU wengi wamekuwa wakihangaika sana na matumbo yao kujaa gesi na pengine kuvimba. Leo nakuletea baadhi ya vyakula vya kula ili kuondoa hili tatizo.Kwa njia moja au nyingine, unajikuta tumbo limechafuka kwa kujaa gesi, . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • June 16, 2023

Dalili Za Upungufu Wa Vitamini C Mwilini

VIASHIRIA vya upungufu wa vitamini C vinaweza kujumuisha uchovu, michubuko rahisi, na ukakamavu wa ngozi.Unaweza kuwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na upungufu huu ikiwa una magonjwa fulani, ikiwa ni pamoja na anoreksia.Vi . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • May 11, 2023

CHANZO CHA KUKOROMA WAKATI WA KULALA

Kukoroma husababishwa na sauti inayotokana na mtikiso wa tishu za njia ya juu ya kupitisha hewa shughuli hii inapoendelea, hasa ikiwa njia hii ikiwa nyembamba.Wembamba wa njia hii waweza tokana na kuziba kwa pua, uzani m . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • January 17, 2023

Wanaume wenye kiwewe hatarini kuugua maradhi ya moyo, kisukari

Wanaume wa umri wa kadri ambao hushikwa na wasiwasi mwingi wako katika hatari ya kupata ugonjwa wa moyo, kiharusi na kisukari, utafiti umebaini. Watafiti kutoka Chuo cha Harvard Marekani, wamegundua kuwa mwanaume akiwa . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 25, 2022

Faida 5 za kiafya za nyanya

Ingawa mara nyingi hufikiriwa kuwa nyanya ni kiungo cha aina mbalimbali za mboga ila tambua kuwa nyanya zifaida mwilini na hizi ndizo faida zake.1. Inaweza kuweka moyo wako katika afya njema Gramu 80 za nyanya hutoa kari . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • November 18, 2022

FAHAMU KINACHOSABABISHA NGOZI INAYOIZUNGUKA MACHO KUWA NYEUSI

Tatizo la ngozi ya sehemu inayoizunguka  macho kubadilika rangi na kuwa nyeusi huwakosesha mabinti wengi usingizi.Hii ni shida ambayo hutokana na sababu mbalimbali kama vile uchovu, kutopata usingizi wa kutosha, kuk . . .

Jembe Maktaba
  • Na Asha Business
  • November 10, 2022

FAHAMU FAIDA YA KUOGELEA KIAFYA

Mojawapo ya faida kubwa za kuogelea ni kwamba hufanya kazi kwa mwili wako wote kuanzia juu kichwani hadi kwenye vidole. Kuogelea: huongeza mapigo ya moyo wako bila wewe kujitutumua zaidi. hujenga misuli hukupa nguvu . . .

Afya
  • Na Asha Business
  • September 5, 2022

Fahamu Madhara ya Kufanya Mapenzi Kipindi cha Hedhi kwa Mwanamke

Kufanya mapenzi wakati wa hedhi ni kitendo cha kujiusisha na mapenzi na msichana au mwanamke aliye katika siku zake za kisichana..Kuna madhara mengi yanaweza yakatokea na kwa kawaida si madhuri kwa afya ya wote wawili.Hi . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • May 10, 2022

Wanawake wa Kiislamu nchini India wapinga ndoa za wake wengi

Hatua ya mwanamke wa Kiislamu mwenye umri wa miaka 28 ya kuomba mahakama nchini India kumzuia mme wake kuoa mke mwingine bila ya ridhaa yake ya maandishi kumezua mjadala wa wazi kuhusu mila ya ndoa za mitala miong . . .

Teknolojia
  • Na JZ The Brand
  • May 10, 2022

Mfahamu mtu wa kwanza kuchambua soka kwa teknolojia ya kompyuta

Siku moja nzuri mnamo Machi 1986, Richard Pollard alifika Fiji kufundisha katika Chuo Kikuu cha Pasifiki Kusini.Siku moja aliona katika sanduku lake la barua kifurushi kilichotumwa kwake kwa barua ya ndege kikigongwa . . .

Vita
  • Na JZ The Brand
  • May 9, 2022

Simulizi ya uvamizi wa Hitler na kushindwa kwake

Urusi ilijiingiza katika vita miaka 77 iliyopita na vita hivyo vinazidi kukumbukwa katika historia.Vita hivyo, vilivyoanzia Leningrad hadi Crimea, kutoka Kiev hadi Stalingrad, viligharimu maisha ya Warusi milioni 25.Ujer . . .

Vita
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Je vita vinasambaa?

Milipuko ya ajabu katika Transnistria, jimbo lililojitenga linalodhibitiwa na Urusi katika Moldova linalopakana na Ukraine, imeibua hofu kwamba vita vya Ukraine huenda vinasambaa katika maeneo mengine zaidi. M . . .

Makala
  • Na JZ The Brand
  • April 28, 2022

Bilionea pekee Afrika Mashariki anatoka Tanzania-Ripoti

Bilionea pekee wa Afrika Mashariki anatoka Tanzania, hii ni kwa mujibu wa ripoti ya kampuni ya utafiti ya New World Wealth and Henley & Partners inayosaidia watu wenye thamani ya juu kupata makazi au uraia k . . .

Jamii
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Wazazi wanaolea watoto wa rangi tofauti

Kila mwaka, familia nchini Marekani zinawaleta majumbani maelfu ya watoto wanaotoka ndani na nje ya nchi kuwalea. Kumleta nyumbani mtoto mgeni inahitaji kumjengea mazoea. Kumleta nyumbani mtoto wa rangi tofauti ina . . .

Afya
  • Na JZ The Brand
  • April 19, 2022

Kinachofanyika katika mwili wako unapofunga hadi saa 20 katika siku 30

Kila mwaka, mamilioni ya Waislamu hufunga wakati wa kutoka kwa jua hadi machweo kwa siku 30 kama sehemu ya likizo ya Ramadhani.Katika miaka ya hivi karibuni, Ramadhani imekuwa ikisherehekewa sanjari na miezi ya kiang . . .

Siasa
  • Na JZ The Brand
  • April 18, 2022

Anayetawala anga atashinda vita vya Ukraine

Kapteni Vasyl Kravchuk anatabasamu kwa urahisi licha ya kuvumilia siku 50 za vita.Anaunganishwa kwenye a Video ili kufanya mahojiano haya kutoka kituo chake cha anga, katika eneo lisilojulikana nchini UkraineAnajua kwa . . .

Kurasa 3 ya 5

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho
  • Follow Us

  • Follow Us

  • Follow Us

  • Subscribe

Matawi Yetu
  • Jembe Group
  • Jembe Development
  • Jembe Beach
  • Jembe Digital
  • Jembe DJ
  • Jembe Stage And Sound
  • Jembe Events
  • Jembe Ni Jembe Team

Habari Zaidi

  • CAM'RON : "Nimeingiza Takribani Bilioni 24.5 ndani ya Miaka Minne kupitia Biashara ya Dawa za Kuongeza Nguvu Za Kiume"

    • 7 masaa yaliopita
  • FAT JOE: Bruno Mars Alinifokea Baada Ya Kumuuliza Asili Yake Kama Ni Puerto Rico

    • 7 masaa yaliopita
  • Dereva wa Mbunge atozwa faini ya Sh.100,000 kwa kosa la kuendesha gari kinyume na sheria

    • 9 masaa yaliopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode