NILIFANYA biashara mjini Kisii Kenya
ambapo nilijikita katika uuzaji wa ala za muziki, ilikuwa imenoga
katika kaunti yote na hata kuenea katika ukanda mzima wa Mkoa wa Nyanza.
Hata hivyo nilitamani hata kufanya biashara zingine ambazo
zingeleta mapato zaidi kwani biashara ndio ilikuwa mwito wangu maishani
kutokana na malengo yangu nilikutana na Jackson ambaye alijifanya ni
mtumishi mwenye wadhifa mkubwa katika Jeshi la Magereza.
Aliniambia
alikuwa na kazi ambayo alitaka kunipa ya usambazaji wa bidhaa za
mbalimbali kama vyakula, bidhaa za malazi, bidhaa kama vitabu na
makaratasi ya uchapishaji katika magereza mbalimbali kwenye kaunti hio.
Hapo nilifahamu fika kwamba Mungu alikuwa amesikia kilio changu cha
kutafuta riziki nyingine kando na uuzaji wa ala za muziki.
Hii
ilikuwa fursa nzuri kukutana na mtu ambaye alikuwa na ushawishi kwenye
kaunti.Jackson aliniambia alihitaji hongo ya takriban shilingi milioni
moja kwani tenda ile ilikuwa idumu kwa muda wa miaka 10 na kuwa iwapo
ningechelewa kumpa pesa zile basi angetafuta mtu mwingine ambaye
angechukua nafasi yangu kwa mpigo.
Sikusita na hapo nilienda
kwenye mapato yangu nikitoa Sh.200,000, nilielekea kwenye kwenye benki
na nikakopa Sh.800,000 ili zifike Sh.milioni moja , fedha hizo ni kwa
mujibu wa Jackson. Tulikutana kwenye hoteli moja mjini Kisii na hapo
nikampa pesa zile zikiwa kwenye mkoba kwani sikutaka wahudumu wa hoteli
ile wagundue nini kilichokuwa kikiendelea kwa wakati ule.
Kazi
ilikuwa ianze kwa muda wa juma moja hivi,baada ya wiki kuisha nilielekea
kwenye Ofisi za magereza tayari kujua lini ningeanza kusambaza
nikizingatia kuwa Jackson alikuwa amenipa stakabadhi zote za kuhudumu
kama msambazaji mkuu.
Nilishikwa na mshtuko wa moyo kwani pale
ofisini niliambiwa hamna yeyote aliyemtambua yule Jackson. Nilitamani
dunia inimeze lakini tayari maji yalikuwa yamezidi unga. Nilijaribu
kumpigia Jackson ili kumtishia aweze kurudisha hata shilingi elfu
hamsini lakini yote yalipiga mwamba kwani hakupatikana. Nililazwa katika
chumba cha wagonjwa mahututi kwani mshtuko wa moyo ulinishika.
Nilimaliza
takriban siku saba katika chumba cha wagonjwa mahututi kwani hali
ilikuwa mbaya kwa ajili ya mshtuko wa moyo ambao ilibaki kidogo hiende
zangu ahera. Baada ya siku chache nilipokuwa nyumbani kwangu nikitazama
taarifa za habari nilioona picha za yule bwana.
Kumbe Jackson
alikuwa ni mwizi sugu aliyelaghai raia kwamba alikuwa na uwezo wa
kuwapa kazi mbalimbali. Kulingana na taarifa zile alikuwa amewaibia watu
fulani Sh.200,000 kwa udanganyifu kuwa angewaingiza katika idara ya
jeshi kwani alikuwa amri komanda mkuu.
Serikali ilitoa taarifa
kwamba mtu yeyote aliyemfahamu Jackson angepata zawadi ya shilingi
milioni mbili. Ilikuwa ni mara yangu ya kwanza kuwahi laghaiwa. Benki
niliyokopa ilianza kunifuata kwani deni lao lilikuwa limekawia muda sasa
bila ya kuanza malipo kirasmi.
Nilikumbwa na msongo wa mawazo
nisijue la kufanya kwa wakati ule. Nilifahamu fika iwapo ningepata bwana
Jackson alipokuwa mafichoni nigepata shilingi milioni mbili jinsi
serikali ilivyotangaza. Baada ya siku chache nilifaanikiwa kupata
mtandao www.kiwangadoctors.com ambapo palikuwa na simulizi za watu
waliokuwa na shida za kulaghaiwa kama mimi.
Ndipo hapo daktari
Kiwanga akasuluhisha na mwisho wakapata hela zao. Sikusita na hapo
nikapigia daktari yule simu ili awe tayari kwani siku yoyote ningefika
katika ofisi zake mjini Kericho. Siku iliyofuata nilienda afisini mwake
na baada ya majadiliano kadhaa akanihudumia kwa mpigo.
Baada ya
siku moja, nilipigiwa simu na baada ya kuitazama vizuri ilikuwa ni
bwana Jackson.Nilishangaa kwani ni vipi angejitokeza kwani serikali
ilikuwa mbioni kumsaka. Alisema alitaka tupatane kwani alitaka kunipa
shilingi laki saba na zingine angelipa pole pole ilmradi nisiwapigie
polisi. Kwa kweli matibabu ya daktari Kiwanga yalikuwa ya kweli.
Tulipatana na Jackson akanipa hundi ya shilingi laki saba.
Kwa
kuwa nilipewa na mawasiliano ya Daktari Kiwanga ambayo ni +254
769404965, pamoja na barua pepe kiwangadoctors@gmail, hivyo Nilikuwa
nampa mrejesho wa kila kilichokuwa kikiendelea ,hakika kwangu kuwa na
mawasiliano hayo kunilinifanya kuwa karibu na Daktari huyo ambaye
anaweza kusaidia katika utatuzi wa changamoto mbalimbali ambazo watu
wanakutana nazo katika maisha.
Hata hivyo kutokana na kutapeliwa
huko tayari nilikuwa nafahamiana na Polisi na hapo Jackson alikuwa
tayari ameshanipa hundi ile tayari kuenda zake, pingu zilikuwa mikononi
kwani nilitaka kupata zile milioni mbili kwa vyovyote vile. Baadaye
jioni taarifa zilienea kwote nilikuwa nimempata bwana Jackson na hapo
nilipewa shilingi milioni mbili.
Alifungwa maisha katika gereza
la Kamiti na mali yake kuuzwa kulipa watu aliowaibia. Ama kwa hakika
daktari Kiwanga ni mtu wa kuaminika. Kando na kusuluhisha kesi za
ulaghai, daktari Kiwanga ana uwezo wa kusuluhisha migogoro ya mashamba,
kesi kotini na mengineyo kwa muda wa siku tatu pekee.
Ni daktari
bora zaidi kwenye ukanda huu wa Afrika Mashariki kama wengi wanayosema
kwa ajili ya huduma zake zisizo za kubahatisha.