Sitarudia Tena Kuiba Kitu cha Mtu

Nakutahadharisha kuwa usiibe kitu cha mtu yeyote. Mimi naitwa Richard na kwa kweli niliona cha mtema kuni siku niliojaribu kuchukuwa simu ya mtu.

Nilikuwa nimeenda kuangalia mechi ya Uingereza kwenye bar fulani mjini Dar Es Salaam ndipo nilipoona simu aina ya Samsung imeanguka chini. Niliichukua na kuenda nayo nyumbani. Nilikaa na simu hiyo kwa muda wa wiki mbili kisha nikaanza kuitumia lakini nilijuta.

Ilianza tu kama mzaha nilipoona watu watatu wakija kwenye nyumba yangu usiku na kuniambia nirejeshe simu kisha wakapotea. Yaani ilifanyika kama mazingaombwe.

Siku ya pili pia nikasikia mabati ya nyumba yangu yakipiga kelele na kisha nikaona paka wawili wakiunguruma na kuitisha simu. Dah! nilijua kuna jambo limefanywa na mwenye simu hiyo. Hiyo siku sikulala.

Nilianza kutafuta mwenye simu hiyo kwenye bar ile niliookota simu na kwa bahati nzuri nilimpata na nikamkabidhi simu. Alinicheka na kunionya kuwa nisirudie chukua tena kitu cha mtu nisiemfahamu vizuri manake majuto ni mjukuu na huja baadaye.

Alinielezea kuwa yeye amejikinga na miti shamba ya daktari Ngoso. Akasema Ngoso ni daktari wa kiasili ambae husaidia mno kukinga mali ya mtu isiibiwe wala kupotea.

Ninapoongea nawe sasa hivi hata mimi nimejikinga kutokana na mambo ya wizi wa aina yoyote. nyumba yangu iko salama.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii