Mwenyekiti Wa CCM Mkoa Wa Tabora Hassan Wakasuvi Afariki

Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Ndugu Hassan Wakasuvi amefariki Dunia.

Chama Cha Mapiduzi kikiongozwa na Mwenyekiti wake na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan , kimepokea kwa masikitiko makubwa na kutoa salamu za rambirambi na pole kwa ndugu, jamaa, marafiki na wanachama wote kufuatia kifo cha Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tabora Hayati. Hassan Wakasuvi.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii