DKT. Biteko ashiriki sherehe za kusimikwa Askofu mpya Mafinga

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto  Biteko leo anashiriki Sherehe ya kuwekwa Wakfu na Kusimikwa kwa Askofu Mpya wa Jimbo jipya la Mafinga, Ndg. Vincent Cosmas Mwagala.

Sherehe zinafanyika katika viwanja vya Kanisa Kuu la Kiaskofu jimboni Mafinga, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa, ambalo limezaliwa kutoka Jimbo la Iringa.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii