Rais Samia Akishiriki Ibada Maalum Ya Kumuingiza Kazini Mkuu Mteule Wa KKKT Ask. Malasusa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akishiriki Ibada Maalum ya kumuingiza kazini Mkuu Mteule wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania-KKKT, Askofu Dkt. Alex Gehaz Malasusa, katika Viwanja vya Kanisa Kuu la Azania Front, Dayosisi ya Mashariki na Pwani.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii