Man City waendelea kuwakaba Arsenal baada ya kuichapa Crystal Palace 3-0

Manchester City wameendelea kuweka presha kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kuichapa Crystal Palace mabao 3-0 katika mchezo uliopigwa katika dimba la Etihad Stadium.

Hata hivyo mabao ya City yalifungwa na Antoine Semenyo dakika ya 32, Omar Marmoush dakika ya 40 pamoja na Savinho dakika ya 84 kuhakikisha timu hiyo inaondoka na alama tatu muhimu.

FT: Manchester City 3-0 Crystal Palace

⚽ 32’ Semenyo
⚽ 40’ Marmoush
⚽ 84’ Savinho

MSIMAMO EPL </p>

                            
                                <div class=

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii