logo
  • Nyumbani
  • HABARI ZOTE
  • Habari
    • KITAIFA & KIMATAIFA
    • BIASHARA & UCHUMI
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
    • BURUDANI ZOTE
    • JEMBE INTERVIEW
  • Zaidi
    • MAGAZETI YA LEO
    • MAKALA
    • VIDEO
    • MATUKIO
    • JEMBE FM TEAM
    • PARTNERS
BREAKING   
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .
DEVELOPING
Sikiliza Jembe FM Radio Online . . .

Kitaifa Na Kimataifa

  • Pata Habari Zilizojili Pande Zote Duniani
matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 12, 2025

Kiongozi wa wanamgambo Darfur afungwa miaka 20 na ICC

Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imemhukumu kiongozi wa wanamgambo wa Janjaweed nchini Sudan Ali Kushayb kifungo cha miaka 20 jela kwa uhalifu wa kivita na uhalifu dhidi ya ubinadamu. Uhalifu huu . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 12, 2025

Mazishi ya Jenista Mhagama Kufanyika Desemba 16, Mbinga

Aliyewahi kuwa Waziri wa Afya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Peramiho, Jenista Joakim Mhagama, aliyefariki dunia Desemba 11 mwaka huu  jijini Dodoma, anatarajiwa kuzikw . . .

matukio
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

Polepole atimiza siku 65, Mdude 222 bila kuonekana

Ikiwa tunaeleka ukingoni mwa mwaka 2025, leo zimetimia siku 223 tangu kutekwa kwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA) Mdude Nyagali na watu wasiojulikana usiku wa Mei 2 mwaka huu akiwa . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata

Rais wa Marekani wa zamani, Donald Trump, ameendelea kumkosoa Mbunge wa Bunge la Marekani, Ilhan Omar, ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Somalia.Katika hotuba yake ya karibuni, Trump alirudia . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 11, 2025

Donald Trump atangaza kukamatwa kwa meli ya mafuta kwenye pwani ya Venezuela

Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Jumatano, Desemba 10, ametangaza kwamba Marekani imekamata meli ya mafuta "kubwa sana" kwenye pwani ya Venezuela, na hivyo kuongeza mvutano na Caracas. Venezuela . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 11, 2025

Maria Corina Machado hatahudhuria sherehe ya Tuzo ya Amani ya Nobel

Kufuatia kufutwa kwa mkutano wa waandishi wa habari wa Nobel Desemba 9 mashaka yameongezeka kuhusu ushiriki wa Maria Corina Machado katika sherehe ya Tuzo ya Nobel iliyopangwa kuanza saa 7:00 (7:00 sa . . .

Afrika Mashariki
  • Na Jembe Digital
  • December 11, 2025

M23 wauteka mji wa kimkakati wa Uvira mashariki mwa Kongo

Baadhi ya vyombo vya habari vimeonyesha waasi wa M23 wakiingia Uvira na kudhibiti maeneo muhimu ya mji huo ikiwemo ofisi za serikali na maeneo ya mpakani.Kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwa . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 11, 2025

Hamas yashtumiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu

Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa ripoti yake inayolishutumu kundi la Hamas na makundi mengine ya wapiganaji wa Kipalestina kwa kufanya uhalifu dhidi ya ubinadamu.Ka . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 11, 2025

Wimbi jipya la wakimbizi wa Kongo waingia nchini Burundi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Burundi Edouard Bizimana amesema zaidi ya Wakongomani 40,000 wamekimbia mapigano yanayoendelea mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kuingia Burundi katika kipind . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 11, 2025

Waziri Ulega awasili Mwanza kutekeleza agizo la PM ukaguzi wa madaraja

Waziri wa Ujenzi Mhe. Abdallah Ulega (MB) leo Desemba 11 mwaka huu amefika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza na kufanya mazungumzo mafupi na Mhe. Mtanda na kubainisha kuwa yupo kwenye ziara ya si . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 11, 2025

Jenista Mhagama afariki dunia

Mbunge wa Peramiho Jenista Joakim Mhagama amefariki dunia leo 11 Desemba mwaka huu jijini Dodoma. Taarifa hiyo imetolewa na Spika wa Bunge la Tanzania Mussa Azzan Zungu ambaye ameeleza kuwa Bunge lime . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

Syria yaadhimisha mwaka mmoja tangu Assad alipoangushwa

Syria Jumatatu inaadhimisha mwaka mmoja tangu kuangushwa kwa mtawala wa kidikteta Bashar al Assad, wakati taifa hilo lililoganwanyika likapambana kurejesha utulivu na kujijenga upya baada ya vita vya . . .

Kimataifa
  • Na Asha Business
  • December 8, 2025

ECOWAS yatuma wanajeshi Benin kufuatia jaribio la mapinduzi

Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi (ECOWAS)siku ya Jumapili jioni imetangaza kwamba imepeleka wanajeshi nchini Benin kufuatia jaribio la mapinduzi lililozuiwa na mamlaka mapema siku hi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Kampuni ya Noble Helium kutoa ajira 50 kupitia utafiti wa Helium kinambo

Kampuni ya Noble Helium kutoka Australia imetangaza mpango wa kuajiri zaidi ya vijana 50 kupitia utafiti mpya wa Helium unaotarajiwa kuanza mwezi Desemba hadi Februari katika kijiji cha Kinambo, Wilay . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Serikali yazuia maandamano, Waziri Simbachawene aonya umma

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi George Simbachawene ametoa angalizo kali kwa wananchi kutoshiriki kile kinachoelezwa kama “maandamano ya amani yasiyo na mipaka wala mwisho” yanayohamasishwa mitan . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Mchungaji na waumini 11 watekwa nyara katika kanisa

 Watu 12 akiwemo mchungaji wametekwa nyara  Novemba 30  mwaka huu wakati wa ibada ya Jumapili katika kanisa la vijijini katikati mwa Nigeria ambapo ni tukio la hivi karibuni k . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Kundi la RSF Sudan lashutumiwa kurusha droni na kuua watoto 33 shule ya chekechea

WATU wasiopungua 50 wakiwemo watoto 33 wauawa katika shambulizi la droni katika eneo la Kordofan Kusini, Kalogi ambapo shambulizi hilo linasemekana kulenga shule ya chekechea.Ingawa kundi la wapiganaj . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa huko Uvira

Mapigano makali yameendelea kushuhudiwa huko Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambapo waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda kwa kukabiliana na jeshi la Kongo linaloungwa mkono na . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Nigeria yawezesha kuachiwa huru wanafunzi 100 waliotekwa

Serikali ya Nigeria imewezesha mpango wa kuachiliwa huru kwa wanafunzi 100 waliotekwa nyara na watu wenye silaha katika shule ya Kikatoliki mwezi uliopita. Hayo yameelezwa siku ya Jumapili na cha . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 8, 2025

Mamlaka ya Benin yazima jaribio la mapinduzi

Mamlaka ya Benin imetangaza Jumapili kuzima jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililolenga kumuondoa madarakani Rais Patrice Talon Umoja wa Afrika umelaani jaribio hilo huku Jumuiya ya ECOWAS ikituma msa . . .

AFYA
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Myenzi atoa wito wa uwazi,uwajibikaji na utoaji huduma bora kwa watumishi wa afya

Desemba 5 mwaka huu mkoani Geita Katika muendelezo wa ziara yake ya kukutana na watumishi wa sekta ya afya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Geita, Ndugu Yefred Myenzi, amefanya kikao maalum na . . .

matukio
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Watuhumiwa wanne wakamatwa na madini ya Vito Mahenge

Watu wanne wamekamatwa na madini ya vito katika mtaa wa Togo, Wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro, kufuatia operesheni maalum iliyofanywa na Ofisi ya Afisa Madini Mkazi Mahenge kwa kushirikiana na Jeshi . . .

Kitaifa
  • Na Jembe Digital
  • December 6, 2025

Vibali 72 vyatolewa kw a mabasi kuongeza nguvu za safari mwisho wa mwaka

MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imesema mpaka sasa imeshatoa vibali 72 vya kuruhusu wamiliki wa mabasi kuongeza mabasi ya muda ya kusafirisha abiria katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Taasisi za kimataifa zatakiwa kuiacha mifumo ya kitaifa kufanya kazi yake

SERIKALI imesema imezipokea na kuzifanyia kazi taarifa na matamko mbalimbali yaliyotolewa na nchi rafiki, mashirika ya kimataifa na taasisi za maendeleo kuhusu Tanzania na matukio ya uvunjifu wa amani . . .

Afrika
  • Na Asha Business
  • December 6, 2025

Mapigano yanaendelea kurindima Kivu Kusini licha ya mkataba wa amani wa Washington

Siku moja baada ya kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Kinshasa na Kigali nchini Marekani, mapigano mengi yameendelea kurindima mashariki mwa DRC siku ya Ijumaa, Desemba 5. Milipuko kadhaa ilisikik . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Waziri Ndejembi aitaka TANESCO kusambaza Mita Janja nchi nzima

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amelielekeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuhakikisha linasambaza mita janja mpya za umeme katika mikoa yote nchini ili kuongeza ufanisi, kurahisisha hud . . .

Kitaifa
  • Na Asha Business
  • December 5, 2025

Chalamila Aitaka TANESCO Kuchunguza Kauli ya Padri Kitima

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza TANESCO kuchukua hatua na kuchunguza kwa kina kauli iliyotolewa na Padri Dk. Charles Kitima akidai kuwa shirika hilo lilizima umeme ili kur . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Tshisekedi, Kagame wasaini mkataba wa kumaliza vita

Rais Donald Trump wa Marekani amewapongeza viongozi wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo Felix Tshisekedi na Rais wa Rwanda Paul Kagame kwa ujasiri wao wa kusaini mkataba wa amani unaolenga kumaliza mzo . . .

Kimataifa
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

Putin afanya ziara ya kihistoria India

Rais wa Urusi Vladimir Putin anaanza ziara ya siku mbili nchini India katika juhudi za kuimarisha ushirikiano hususan katika sekta ya ulinzi. Ziara hiyo imefanyika wakati ambao India inakabiliwa . . .

Elimu
  • Na Jembe Digital
  • December 5, 2025

937,581 kujiunga na kidato cha kwanza

OFISI ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imesema wanafunzi 937,581 wamechaguliwa kuanza masomo ya kidato cha kwanza mwakani. Waziri wa Tamisemi Profesa Riziki Shemdoe . . .

Kurasa 7 ya 133

  • Mwanzo
  • Nyuma
  • Mbele
  • Mwisho

Habari Zaidi

  • Tanzania yajiandaa kiuchumi ,na kimaandishi kwa AFCON 2027 inayo karibishwa pamoja na Kenya na uganda.

    • 17 dakika zilizopita
  • Bodi ya Brute SACCOs Yapata Mafunzo ya Uandishi wa Habari Bukoba

    • 35 dakika zilizopita
  • GGML yatoa msaada wa milioni 50 kusherehekea mwaka mpya na watoto yatima

    • 42 dakika zilizopita

Habari Category

  • Habari Zote
  • Siasa
  • Michezo
  • Burudani
  • Habari Ndani Na Nje
  • Video
  • Uchumi Na Biashara
  • Magazeti
  • Makala

Wasiliana Nasi

JEMBE NI JEMBE GROUP ,
P. O. Box 1334,
PLOT NO.111/BLOCK "A"
HOUSE No:43 MAKONGORO STREET,
ILEMELA MWANZA - TANZANIA

info@jembenijembe.com

+ 255-786-385-475 ,
+ 255-716-385-475.

  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS
  • STAFF LOGIN

POWERED BY

© Jembe Ni Jembe Companies.

Created And Maintained By XFoundationCode