Rais Samia atunukiwa udaktari wa Falsafa wa heshima

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya
Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea hii leo June 3, 2024.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii