MAWAKILI WAZINGATIE MAADILI

Jaji Mkuu Wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma Amewakumbusha Mawakili Kuzingatia Maadili Na Viwango Katika Nyakati Hizi Za Utandawazi Na Ushindani

Jaji Mkuu Ameyasema Hayo Katika Sherehe Ya Miaka 65 Ya Kuwakubali Na Kuwasajili Mawakaili Wapya Jijini Dar Es Salam Leo
Amesema Changamoto Moja Ya Wakili Asiyekuwa Na Maadili Anaweza Kusababisha Dunia Nzima Kuichafua Taaluma Hiyo

Nae Mwanasheria Mkuu Wa Serikali Mh. Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi Amekumbushwa Kufuata Sheria Ya Kuwatoza Ada Wateja Wao Mahakamani Kwa Mujibu Wa Sheria

Amesema Kumekuwa Na Malalamiko Mengi Kutoka Kwa Wateja  Kuhusu Viwango Wanavyotozwa Na Mawakili  Katika  Kusimamia Kesi Zao

Rais Wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika TLS,  Dr. Edward Hosea Amesema Chama Hicho Kinaendelea Kuchukua Hatua Mbalimbali Ikiwa Ni njia Ya  Kuboresha Huduma  Zinazotolewa Na Sekta Hiyo  Na Kudhibiti Malalamiko Ya Wateja Kujitokeza

Jumla Ya Mawakili Wapya 313 Leo Wametambulika Na Kulingana Na Chama Cha Wanasheria Tanganyika TLS  Mpaka Kufikia Leo Kuna Jumla Ya Mwakili 1745 Katka Kitabu Cha Amawakili Wa Huku Chama Hicho Kinawanachama Zaidi Ya Elf 10


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii