VYEMA KUTAMBUA MSINGI WA TAIFA HILI

Mkuu Wa Mkoa Wa Simiyu David Kafulila Amewataka Wananchi Kutambua Msingi Mkubwa Wa Taifa Hili  Ni Katika Kuzingatia Utu Na Usawa
Ameeleza Hayo Katika Kongamano La Maadhimisho Ya Miaka 60 Ya Uhuru Lililofaniyka Mjini Bariadi Na Kuhudhuriwa Na Wananchi Pamoja Wanafunzi
Ameeleza Vyema Kuzingatia Yale Waliyoyasimamia Wasisi Wa Taifa Hili Kwaajili Ya Maendeleo Ya Taifa  Kijumla

Aidha Mada Mbalimbali Zikatolewa Na Wadau Katika Kongamano Hilo Ikiwa Ni Pamoja Na Uzalendo  Ujamaa


Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii