Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Amesema Serikali Itaendelea Na Utaratibu Wa Kuzianisha Changamoto Zote Zinazorudisha Nyuma Sekta Ya Uwekezaji Na Kuzitafutia Ufumbuzi Ili Kuendelea Kuvutia Wawekezaji Wengi Kuwekeza Hapa Nchini .