Ufunguzi rasmi Awamu ya Pili ya upanuzi wa Barabara ya New Bagamoyo (Moroco – Mwenge)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akifungua rasmi Awamu ya Pili ya upanuzi wa Barabara ya New  Bagamoyo (Moroco – Mwenge)  jijini Dar es Salaam yenye urefu wa kilomita 4.3 leo tarehe 05 Desemba, 2021.

Pata Habari Kupitia Mitandao Yetu Ya Kijamii